Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Fanya subra upitie vizuri hiyo sight, unaweza jua mambo mengi sio hilo tu!! Hiyo itakuonyesha kwamba Kenya sio flyover na barabara nzuri tu, bali everything!! Tafuta hapo ina mambo mengi itakuchukua saa nzima
Subira gani na sijaona anything wanjala hahhahahahhaha tatizo lako wewe unawenge sana
 
Sijaona data inayozungumza about anything nilichokuuliza niletee data ya serekali tafadhali wanjala
mkuu ntakuuliza kama vile wewe hupenda kuuliza....huamini kama inajengwa au unajitia hamnazo?
 
Kenya hatuna uraibu huo! Unaona sisi huwa tunatulia hadi ngoma ianze, hakuna mwenye alikuwa anajua project ya mombasa road hapa, ndio maana unauliza link, plans plans plans, hapana, sisi tunakuletea the real deal
Hahahaha kwni we project zilizo huku wazijua vzr??????? Maana usiongee tu kwa kujifurahisha
 
Back
Top Bottom