Godwin Gen
JF-Expert Member
- Oct 24, 2017
- 1,309
- 2,277
Sure, sisinwenyewe hapa jf tuna threads kibao za kuichallenge serikali hata kama tunajua wako sawa. Na ndio maana hukohuko wakenya wengine wanachota bila kuhakiki kama ni kweli wanaanza kubisha, tunawacheki tuKitu kinacho nishangaza kwanini wakenya wanatetea upumbaavu wa serikali yao wakati wana ishi kwenye slum hapa jf ??? Kwanini wasingekuwa wanaiponda Kwa nguvu zao zote hapa jf ili kuisaidia nchi yao wenyewe !!!!???? Ila nilicho gundua kuhusu wakenya wamevunjika mioyo na nchi yao hivyo wamejumuika pamoja kuionea uchungu na wivu Tanzania