kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
imagine hii ni westlands pekeeIssue ni hii kamji kazima kameonekana kwa pic moja tu, yaani kajiji kenu kadogo sana
imagine hii ni westlands pekeeIssue ni hii kamji kazima kameonekana kwa pic moja tu, yaani kajiji kenu kadogo sana
Utajumlisha majengo ya CBD, upanga na kijitonyama ndio ifikie thamani ya majengo ya Westland.imagine hii ni westlands pekee
Hebu jumlisha tuoneUtajumlisha majengo ya CBD, upanga na kijitonyama ndio ifikie thamani ya majengo ya Westland.
Umenikumbusha mbali baada ya kuona reboli centre hapoPicha moja inaridiwa mara tano sehemu ile ile
Sumbawanga
View attachment 1091110View attachment 1091111View attachment 1091112
Bruh!!!!!! looks like SwitzerlandWell, the Mogul lived in the fullest, Mengi village mansion you may call it a villa, resort in Canada, Sweden, Switzerland, Finland, Austria wherever but that's Kilimanjaro Tanzania
View attachment 1092102View attachment 1092103View attachment 1092104View attachment 1092105
Asante sana,nyie pesa tuitafute sana, pesa nzuri wadauWell, the Mogul lived in the fullest, Mengi village mansion you may call it a villa, resort in Canada, Sweden, Switzerland, Finland, Austria wherever but that's Kilimanjaro Tanzania
View attachment 1092102View attachment 1092103View attachment 1092104View attachment 1092105
#Crazy rich TanzaniansWell, the Mogul lived in the fullest, Mengi village mansion you may call it a villa, resort in Canada, Sweden, Switzerland, Finland, Austria wherever but that's Kilimanjaro Tanzania
View attachment 1092102View attachment 1092103View attachment 1092104View attachment 1092105
Kuna picha yyte ya plans (render)wanapanua ili iweje?Nimeona Bagamoyo Road imeanza kutengenezwa. Mwenge to Morocco.
Kwa kuamini kua mtu kama mimi sijui Ikulu ilipo hapo wewe ndio unakua kilaza wa kutupwaWe ni kilaza kweli.
Kwanza mtu anaefikiria kuwa TRC inunue vichwa vya namna hii na ilhali ilishatuonesha vichwa vinavyokuja ni kuwa na akili fupi kama ya wakenya. Unless mtu awe hakuona report ya vichwa tutakavyonunuaMsemaji wa serikali
View attachment 1091491
Halafu nkimwambia analialiaWe na we ni km huelewagi au ndio tabia za kidd
Asanteee... Kweli hawa jamaa ni mafala nambari moja. Kwa nini wasingenyoosha moja kwa moja 🤣 🤣 🤣 😀 😀Skia wanafosi tu simamee usihangaike nao, we ona hata stesheni yao wanaingilia chini eti wanaenda juu, halafu wanapandia train chini mpaka unajiuliza taabu yote ya nn km si kujionesha ukisasa, wakati ya kwetu unaingilia chini unajua kabisa train naenda kupandia juu ghorofani, yaani usipate nao shidaaah, JPM sio wa quality ndogo ki hivyoo, napia hatuwezi kujaribia vifaa vyetu wanatumia vyao ili kujihakikishiaa