Nimkimbilie nani
JF-Expert Member
- Nov 23, 2016
- 6,217
- 6,570
Msemaji wa serikali
Sasa mbona hujamaliza kupiga hesabu?, tumalizane kwanza na 60% ya 4M, ni ngapi?Sasa lets talk about Tanzania, has almost a non existent middle class, almost half wanaishi below poverty line,
Hao waTZ wanaishi posh estates pale Dar?
When you start talking about poverty and slums kumbuka, Tanzania si Belgium bruh.
Jana niliiambia mijitu haikunielewaMsemaji wa serikali
View attachment 1091491
Hakuna kitu inaitwa slum tanzania utake usitake😆😆😆😆👇👇👇👇Sasa lets talk about Tanzania, has almost a non existent middle class, almost half wanaishi below poverty line,
Hao waTZ wanaishi posh estates pale Dar?
When you start talking about poverty and slums kumbuka, Tanzania si Belgium bruh.
Population ya Nairobi ni 4M, kati ya hao 60% wanaishi katika slums, ukifanya hesabu unapata ngapi " Slum dwellers"?
mmechezwo na magufuli brathee![]()
I mean, don't judge a book by it's cover. Hii ni ya siemens ila kama Yapi Merkezi wako well equipped then why not the orange one?
View attachment 1091141
Msemaji wa serikali
View attachment 1091491
True kabisa, hii station itakuwa homa, SGR juu, treni za kawaida chiniSkia wanafosi tu simamee usihangaike nao, we ona hata stesheni yao wanaingilia chini eti wanaenda juu, halafu wanapandia train chini mpaka unajiuliza taabu yote ya nn km si kujionesha ukisasa, wakati ya kwetu unaingilia chini unajua kabisa train naenda kupandia juu ghorofani, yaani usipate nao shidaaah, JPM sio wa quality ndogo ki hivyoo, napia hatuwezi kujaribia vifaa vyetu wanatumia vyao ili kujihakikishiaa
Kitu kinacho nishangaza kwanini wakenya wanatetea upumbaavu wa serikali yao wakati wana ishi kwenye slum hapa jf ??? Kwanini wasingekuwa wanaiponda Kwa nguvu zao zote hapa jf ili kuisaidia nchi yao wenyewe !!!!???? Ila nilicho gundua kuhusu wakenya wamevunjika mioyo na nchi yao hivyo wamejumuika pamoja kuionea uchungu na wivu Tanzania
Population ya Nairobi ni 4M, kati ya hao 60% wanaishi katika slums, ukifanya hesabu unapata ngapi " Slum dwellers"?
Achana na kitu" Ukabila", utafanya chochote kile ili kulinda mtu wa kabila lakoKitu kinacho nishangaza kwanini wakenya wanatetea upumbaavu wa serikali yao wakati wana ishi kwenye slum hapa jf ??? Kwanini wasingekuwa wanaiponda Kwa nguvu zao zote hapa jf ili kuisaidia nchi yao wenyewe !!!!???? Ila nilicho gundua kuhusu wakenya wamevunjika mioyo na nchi yao hivyo wamejumuika pamoja kuionea uchungu na wivu Tanzania
Pwahahaha. Acha kutudanganya
View attachment 1089704
![]()
Scenes from the road - Singapore, Malaysia, Hong Kong
A blog about urban ecology, urban forestry, and local nature.www.localecologist.org
![]()
10 Singapore Laws And Secrets Even Singaporeans Don't Know About
The national secrets that even born and bred Singaporeans don't know about. Figure out #10 with a magnifying glass!thesmartlocal.com
MarsabitPicha moja inaridiwa mara tano sehemu ile ile😆😆😆😆😆
Sumbawanga👇👇👇👇👇
View attachment 1091110View attachment 1091111View attachment 1091112
Issue ni hii kamji kazima kameonekana kwa pic moja tu, yaani kajiji kenu kadogo sanaEbu hawa watanganyika wa comment hii picture ya westlands nione wataambia watu nini
View attachment 1091884
View attachment 1091888
View attachment 1091890
We ni kilaza kweli.Bagamoyo
Hey stalker,why quote me na sijakuuliza? Mjinga ni wewe mnaibiwa na jiwe mchana peupe afu kazi yenu nukushangilia Tu.Mhandisi Uchwara umerudi? Hatuna mda wa kumuelewesha mjinga asietaka kuelewa. Tukuache ujifariji n then utajpata somo tutakapoanza safari rasmi hap november
Westland ni wilaya my friend,na Kwa taarifa yako sijalazimisha chochote ila nimekupa tu maana ya neno mtaa kama ulikuwa hujui.Kisa wasteland ni mtaa ndio unataka kulazimisha wards zetu kua mtaa!