Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Air Tanzania plans
Kuongeza Airbus A220-300 nyningne mbili na q400 moja...na shangaa kwann hawanunui cargo plane
Screenshot_20190509-200048.jpg
 
Picha moja inaridiwa mara tano sehemu ile ile😆😆😆😆😆


Sumbawanga👇👇👇👇👇
View attachment 1091110View attachment 1091111View attachment 1091112
Umeposti picha za niliko,of coz sio hizo tu ziko nyingi mpya na zinaendelea kujengwa zingine by 2020 swax kutanoga
Hiyo photo ina justify kauli yangu ya siku zote kwa nini miji mingi ya bongo haikupimwa viwanja ipendeze? Imagine hizo ni ordinary residential za kawaida but kwa kua zimejengwa kwe plots unaweza ona zinavyopendeza na hapo ndipo wakenya wamepiga bao miji yao imepangika vizuri
Swax hiyo ilipimwa miaka ya 70 lakini saizi kinachoendelea ni ujenzi holela kama kawaida ya Watz
 
Umeposti picha za niliko,of coz sio hizo tu ziko nyingi mpya na zinaendelea kujengwa zingine by 2020 swax kutanoga
Hiyo photo ina justify kauli yangu ya siku zote kwa nini miji mingi ya bongo haikupimwa viwanja ipendeze? Imagine hizo ni ordinary residential za kawaida but kwa kua zimejengwa kwe plots unaweza ona zinavyopendeza na hapo ndipo wakenya wamepiga bao miji yao imepangika vizuri
Swax hiyo ilipimwa miaka ya 70 lakini saizi kinachoendelea ni ujenzi holela kama kawaida ya Watz
Akili ikae kichwani sio makalioni😆😆😆😆😆👇👇👇👇👇

 
Failed state





hapa ndio utajua waafrika hatupendani maana hali hiyo halafu wabunge wa kenya walikua wanadai waongezewe mishahara. mda mwingine unaweza diliki kusema bora wakoloni kuliko hawa viongozi waafrika wenzetu. it's big shame for Kenyan government. hizi zinaendeshwa kifalme viongozi wanatokea kwenye clan wenye nasaba na viongozi ni tatizo sana . even if I'm Kenyan citizen lakini aibu ni yetu wote as a East Africa community
 
hapa ndio utajua waafrika hatupendani maana hali hiyo halafu wabunge wa kenya walikua wanadai waongezewe mishahara. mda mwingine unaweza diliki kusema bora wakoloni kuliko hawa viongozi waafrika wenzetu. it's big shame for Kenyan government. hizi zinaendeshwa kifalme viongozi wanatokea kwenye clan wenye nasaba na viongozi ni tatizo sana . even if I'm Kenyan citizen lakini aibu ni yetu wote as a East Africa community
Washenzi tu hawana maana
 
Back
Top Bottom