Mkwanzania
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 1,352
- 5,414
Dsm hakuna slums hizo nimezijulia Nairobi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣
Hata mimi nilikuwa najua Manzese ni Slum, until I step to Nairobi

Dsm hakuna slums hizo nimezijulia Nairobi 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣🤣🤣

Hapana, hii aibu sio ya East Africa nzima, hii ni aibu ya Kenya pekee, mbona Victor Wanyama, , Lupita Nyong' na wakimbiaji wa Kenya wakifanya vizuri hamsemi wanatoka East Africa?. Kila nchi ipambane na hali yake, hiyo ni aibu yenu pambaneni nayo.hapa ndio utajua waafrika hatupendani maana hali hiyo halafu wabunge wa kenya walikua wanadai waongezewe mishahara. mda mwingine unaweza diliki kusema bora wakoloni kuliko hawa viongozi waafrika wenzetu. it's big shame for Kenyan government. hizi zinaendeshwa kifalme viongozi wanatokea kwenye clan wenye nasaba na viongozi ni tatizo sana . even if I'm Kenyan citizen lakini aibu ni yetu wote as a East Africa community
Sina pdf nna kama summaryView attachment en1557401474-HOTUBA YA BAJETI YA WAZIRI WA UUM 2019-2020 final.docNitumie hii hotuba pdf bro
💉 💉 💉 👌👌Hapana, hii aibu sio ya East Africa nzima, hii ni aibu ya Kenya pekee, mbona Victor Wanyama, , Lupita Nyong' na wakimbiaji wa Kenya wakifanya vizuri hamsemi wanatoka East Africa?. Kila nchi ipambane na hali yake, hiyo ni aibu yenu pambaneni nayo.
Safi sanaa.. hizi mvua zingekata basi, maana ujenzi unakua mgumu.Bagamoyo road Expansion
View attachment 1093231
View attachment 1093232
View attachment 1093233
View attachment 1093234
Ndio wanajenga BRT kati nn mana kuna B90 walitoa wajapanBagamoyo road Expansion
View attachment 1093231
View attachment 1093232
View attachment 1093233
View attachment 1093234
Safi sanaa.. hizi mvua zingekata basi, maana ujenzi unakua mgumu.
iyo road inamagari mengi sana wacha waitanue tuteleze kisawasawaKutoka wapi hadi wapi ?Bagamoyo road Expansion
View attachment 1093231
View attachment 1093232
View attachment 1093233
View attachment 1093234
Nasikia ujenzi umeahirishwa8 to 12 lanes 👏👏👏👏👇👇👇
View attachment 1093312
Ulioahirishwa ni ppp ya kutoka dar kwenda chalinze sio hioNasikia ujenzi umeahirishwa