Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ili kumsaidia mtu mjinga hua sipendagi kumpa direct answers. Napendaga kumpa assignment ya kutafuta majibu mwenyewe maana in a process atapata majibu ya maswali ambayo hata sijamuuliza. If you are interested. Kama hutaki kujinasua kwenye ujinga acha na endelea kutubishia
Sasa badala ya kuniambia cost ya vitu kama mtu mature ni kublabber hapa. Umeuliza swali nimekupa jibu sasa wewe leta bei ya commodities then we compare. But fact ni Tz ni LDC
 
Proff hulipwa hadi 10M tshs, wenye PhD huanza na 4.5M tshs>>>>. .medical specialist huanza na 2.0+M tshs>>>>>, medical doctor 1.48M tshs huyu ni junior kabisa...
Mashirika hulipa zaidi mfano tu ICAP M.D. Analipwa 4M na Mkapa foundation last time M.D. alikua anaanza na 2.4M tshs
Na intern kenya, lowest of the doctors anaanza 4.5 million tsh. Unaona difference.
 
I personally dont dislike Tanzania. I dislike Tanzanias who shit talk Kenya. Kwanza kuna jamaa anaitwa kazikazi pale nairaland, asshole kabisa
Watu kama hao hawakosekani,nanyie hua mnadharau sana, yani mtu asiefaham Kenya anaweza hisi mko league moja na Japan or Germany, mnapenda sana kujisifu kujipamba hadi mnafeli...
Huwez muonesha dharau jirani utegemee atakuzungumzia vizur ilo sahau
 
I personally dont dislike Tanzania. I dislike Tanzanias who shit talk Kenya. Kwanza kuna jamaa anaitwa kazikazi pale nairaland, asshole kabisa
Unajua kwanini unamchukia huyo jamaa? Ni kwa sababu mnawachafua sana Tanzanians kwenye forum mbalimbali alafu mkijibiwa kwa fact hamtaki, nimeona sehemu hata mkibishana na Nigerian lazima uweke Tanzanians hata kama hawahusiki, badilimeni buda na mfanya vitu vitakavyowaletea maendeleo binafsi.
 
Unajua kwanini unamchukia huyo jamaa? Ni kwa sababu mnawachafua sana Tanzanians kwenye forum mbalimbali alafu mkijibiwa kwa fact hamtaki, nimeona sehemu hata mkibishana na Nigerian lazima uweke Tanzanians hata kama hawahusiki, badilimeni buda na mfanya vitu vitakavyowaletea maendeleo binafsi.
Naah that dude alijoin thread akaanza kupost matope about Kenya in a non TZ related thread. Na he does not post facts, he just trasg talks kenya.
 
Watu kama hao hawakosekani,nanyie hua mnadharau sana, yani mtu asiefaham Kenya anaweza hisi mko league moja na Japan or Germany, mnapenda sana kujisifu kujipamba hadi mnafeli...
Huwez muonesha dharau jirani utegemee atakuzungumzia vizur ilo sahau
True. Some Kenyans huwa na dharau, which is bad but its a two way traffic, mTZ ataitrash talk Kenya na mkenya atakuja hapa aanze kuwatusi waTZ na vice versa, na mpia mkenya ataitusi TZ then mkenya anaona the best thing ni kurudisha matusi back. But wakati mwingine mimi hushangaa, instead ya waafrica kucelebrate achievement za another africans wanatusiana
 
C16C5E7B-3F3C-424F-B713-AC809984FE2E.jpeg
93F79793-7A1E-4B72-A566-8AD9EA49A8AC.jpeg
 
Na intern kenya, lowest of the doctors anaanza 4.5 million tsh. Unaona difference.
Huu ni uongo uliokomaa, lete ushahidi, japo sio jambo la kujisifia kama ungekuwa na akili, kwasababu kitu kinachoirudisha Kenya nyuma, ni ugawaji WS rasilimali ya taifa usiokuwa MZURI, wachache wanafaidika na wengi hawapati kitu" Ruthless Economy".
 
True. Some Kenyans huwa na dharau, which is bad but its a two way traffic, mTZ ataitrash talk Kenya na mkenya atakuja hapa aanze kuwatusi waTZ na vice versa, na mpia mkenya ataitusi TZ then mkenya anaona the best thing ni kurudisha matusi back. But wakati mwingine mimi hushangaa, instead ya waafrica kucelebrate achievement za another africans wanatusiana
Yap buda inatakiwa tubadilike wote hii mambo sio nzuri kabisa, tuzunguzme na kujadili vitu vya maana
 
Huu ni uongo uliokomaa, lete ushahidi, japo sio jambo la kujisifia kama ungekuwa na akili, kwasababu kitu kinachoirudisha Kenya nyuma, ni ugawaji WS rasilimali ya taifa usiokuwa MZURI, wachache wanafaidika na wengi hawapati kitu" Ruthless Economy".
Ni uongo, forgive me si 4.5 million ni 4.7million tsh, I apologise, sikuonvert vizuri na current exchange rates Intern anaearn 206,989ksh which is 4.7 million tzs per month. https://www.businessdailyafrica.com...alary-deal/3946234-4003916-3q7nhoz/index.html
Unajua ukilipa watu vizuri that cash itatrickle down to the economy, msee wa kinyozi, mama mboga, car wash dude etc watapata cash indirectly.
 
Ni uongo, forgive me si 4.5 million ni 4.7million tsh, I apologise, sikuonvert vizuri na current exchange rates Intern anaearn 206,989ksh which is 4.7 million tzs per month. https://www.businessdailyafrica.com...alary-deal/3946234-4003916-3q7nhoz/index.html
Unajua ukilipa watu vizuri that cash itatrickle down to the economy, msee wa kinyozi, mama mboga, car wash dude etc watapata cash indirectly.

Ukisoma vizuri hii article utaona kwamba hiyo Kshs 206,000 sio basic salary, hiyo ni pamoja na allowances ambazo zinatofautiana sana, kwa mfano "call allowances", inatofautiana toka mwezi hadi mwezi na inategemeana na idadi ya doctors waliopo katika hospitali husika.

Kama unataka kulinganisha, ni lazima utumie basic salary ambayo ni constant kwa doctors wa nchi nzima, kumbuka doctors waliopo Wajir na Turkana hulipwa hardship allowances wakati wa Nairobi hawalipwi.

Kuhusu kulipa mishahara mikubwa, unapaswa ulipe kwa wote ili kusiwepo na gap kubwa kati ya mishahara ya watumishi, vinginevyo migomo haitokwisha na " inflation " itakuwa ikipanda sana. Kwa Kenya kutoa mishahara mikubwa inasababisha kupunguza uwezo wa serikali kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa sababu 50% ya revenue inatumika kulipa wages, GoK inabaki na pesa kidogo kushughulika na miradi ya maendeleo.
 

Ukisoma vizuri hii article utaona kwamba hiyo Kshs 206,000 sio basic salary, hiyo ni pamoja na allowances ambazo zinatofautiana sana, kwa mfano "call allowances", inatofautiana toka mwezi hadi mwezi na inategemeana na idadi ya doctors waliopo katika hospitali husika.

Kama unataka kulinganisha, ni lazima utumie basic salary ambayo ni constant kwa doctors wa nchi nzima, kumbuka doctors waliopo Wajir na Turkana hulipwa hardship allowances wakati wa Nairobi hawalipwi.

Kuhusu kulipa mishahara mikubwa, unapaswa ulipe kwa wote ili kusiwepo na gap kubwa kati ya mishahara ya watumishi, vinginevyo migomo haitokwisha na " inflation " itakuwa ikipanda sana. Kwa Kenya kutoa mishahara mikubwa inasababisha kupunguza uwezo wa serikali kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa sababu 50% ya revenue inatumika kulipa wages, GoK inabaki na pesa kidogo kushughulika na miradi ya maendeleo.
The collective bargaining agreement (CBA) signed with the Council of Governors (CoG) will see the lowest-paid doctor (intern) earn Sh206,989, including allowances.
All governors in Kenya. CoG. Thats the lowest a doc in Kenya. Nairobi ama Turkana. So hizo harship zitaadd kwa hio constant lowest. Wacha perepere mingi
 
I am sure of all the 'crap' I was posting. Thats why nimekuask ulete data authentic inayo onyeshaTz is better than Kenya. Hakuna man, the only authentic data ni from your feelings na letting it all out here. Lemme post some fake data yenye inaonea TZ. Hapa TZ mmefanya better, mko na 49.1% na kenya 36.8%. 49 ni greater than 36 so mmepass, Kenya tuko na F na nyinyi mko na D jajajahttps://howmuch.net/articles/people-living-in-extreme-poverty-2018View attachment 1088837
Si mistakenly. Na unemployment rate haimaanishi poverty. Mko na lower unemployment rate than Spain na South Africa, are you richer? Employment is one of the ways ya kupata pesa, kuna many ways. Pia employment si kumaanisha stable income kaka, unaweza kuwa paid pocket change. Na I did mishahara comparison TZ na Ke, did ya walimu na doctors more to come. Kenya pays better. Kenya si perfect, na Turkana was a sad story, I am sure watafix the problem. Haya, poverty 46% Kenya? No No No No. iko 36% percent mate, ya Tanzania inaelekea 50%, half ya your population. Wacha nikupe link, ama utalia cooked data??
Notice how Tanzania has a darker shade ya red?? that means poorer
View attachment 1088795
We did that kwa hio thread ya kucompare mishahara. Gharama ya Kenya iko slighly higher than Tanzania but si difference kubwa. We did mpaka comparison ya kununua vitu kama electronics. Mkate kenya ni 50ks, maziwa nusu litre supermarket ni 50ksh, unga 1kh normally ni 50ks(imepanda to 65ksh naskia coz ya ukosefu wa mahindi). Tuanze na hizo comparison then, how much do you buy things over there?
Wealth is measured by how much you keep not how much you make, workers in Kenya might get paid more but spend more on food, social services, education and transportation. In the end you end up with nothing because you spend too much and this reflects how unhealthy the country is economically. The reason we can afford to fund our own projects is because we keep some of the money.
 
Back
Top Bottom