Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
hapo sasa umemtumbua huyo kunguni wakikenyaLDC inajenga reli ya umeme bullet train kwa pesa zako na MLDC inakopa kujenga reli ambayo ni ya mwaka 50 iliopita![]()



hapo sasa umemtumbua huyo kunguni wakikenyaLDC inajenga reli ya umeme bullet train kwa pesa zako na MLDC inakopa kujenga reli ambayo ni ya mwaka 50 iliopita![]()



halafu hawatujui vizuri hawa manyang'au hawajui kama TZ kwa fitina ni noma tukisema tuwaamulie watajuta,sema washukuru tunawapotezea tu,,,maana hawana faida kwetu wapo zeroWee! Koma. Huo msemo wa nyani haoni kundule unarepresent Kenya. Nani alie anza kudig kuhusu mwenzake? Ukiacha huu uzi nenda kwenye mitandao search uone nani anamchafua mwenzie. Now ni kwamba tu uvumilivu umetushinda kuhusu fitina zenu na wala hatujawaandika kwenye mitandao mingine its just JF na mnalalamika. Je tungeanza youtube, quora na mitandao mingine kama mnavyotufanyia si mgelia machozi ya damu? Hii mbinu ya kujipatia umaarufu kupitia mwenzio ilishapitwa na wakati na kama wahenga walivyosema hakuna lisilokua na mwisho mtaumbuka vibaya.
Hadi wataalamu wenu wanathubutu kusema mvua yenu imeshikiliwa Tanzania! mmezidi kwakweli
sasa hiyo nayo ni sifa au ujinga...Ni uongo, forgive me si 4.5 million ni 4.7million tsh, I apologise, sikuonvert vizuri na current exchange rates Intern anaearn 206,989ksh which is 4.7 million tzs per month. https://www.businessdailyafrica.com...alary-deal/3946234-4003916-3q7nhoz/index.html
Unajua ukilipa watu vizuri that cash itatrickle down to the economy, msee wa kinyozi, mama mboga, car wash dude etc watapata cash indirectly.

na ndiyo maana hawana pesa zao binafsi za miradi mwisho wa siku wanaishia kukopa kopa hovyo![]()
Medical interns to earn Sh206,000 in salary deal
Medical interns to earn Sh206,000 in salary dealwww-businessdailyafrica-com.cdn.ampproject.org
Ukisoma vizuri hii article utaona kwamba hiyo Kshs 206,000 sio basic salary, hiyo ni pamoja na allowances ambazo zinatofautiana sana, kwa mfano "call allowances", inatofautiana toka mwezi hadi mwezi na inategemeana na idadi ya doctors waliopo katika hospitali husika.
Kama unataka kulinganisha, ni lazima utumie basic salary ambayo ni constant kwa doctors wa nchi nzima, kumbuka doctors waliopo Wajir na Turkana hulipwa hardship allowances wakati wa Nairobi hawalipwi.
Kuhusu kulipa mishahara mikubwa, unapaswa ulipe kwa wote ili kusiwepo na gap kubwa kati ya mishahara ya watumishi, vinginevyo migomo haitokwisha na " inflation " itakuwa ikipanda sana. Kwa Kenya kutoa mishahara mikubwa inasababisha kupunguza uwezo wa serikali kufanya mambo mengine ya maendeleo kwa sababu 50% ya revenue inatumika kulipa wages, GoK inabaki na pesa kidogo kushughulika na miradi ya maendeleo.
zile ring roads zinazotarajiwa kujengwa Dodoma ili zilete maana inafaa zijengwe like hii Nai road au iache space ya kutosha katikati kama sam Nujoma road
Half of kenyans live in slums,it means slums are not only in nairobi,but throughout kenyaSio mimi ni World Bank
View attachment 1089181
Road reserve ni 150 metreszile ring roads zinazotarajiwa kujengwa Dodoma ili zilete maana inafaa zijengwe like hii Nai road au iache space ya kutosha katikati kama sam Nujoma road
Eden is still alive in Nairobi
Kumbe Struggler Gorge pia ni ya mkopo?
Bara bara kujengwa na kuacha nafasi katikati ndiyo zetu, ndiyo maana BRT zinajengwa bila tabu, siyo Sam Nujoma tu, nenda Mbagala, Tegeta kote kuna nafasi kati kati imeachwa kwa makusudi. Kujenga bila mipango ya baadae hilo tatizo lipo Nairobi ndiyo maana BRT imekuwa kitendawili kisicho kuwa na jibu. Kwa hizo ring roads zinazojengwa Dom hazina cha kujifunza kutoka Nairobi.zile ring roads zinazotarajiwa kujengwa Dodoma ili zilete maana inafaa zijengwe like hii Nai road au iache space ya kutosha katikati kama sam Nujoma road
Eden is still alive in Nairobi
Kumbe Struggler Gorge pia ni ya mkopo?
Tatu ya nguvu, hongera jiraniSio mimi ni World Bank
View attachment 1089181
😆😆😆😆 jirani kashika nafasi ya tatu dunianiTatu ya nguvu, hongera jirani
Hili swali ungeanza na kuwauliza ndugu zako wakenya wanaofundisha huku Tanzania uwa wanalipwa kiasi gani hadi waache kukaa kwenye nchi yao ya middle income kuja kuajiriwa TZWalker 255 I also talked about teachers, nipe more info about TZ teachers
Wewe hiyo road ya sam Nujoma sio tu imeacha reserve katikati lakini ndo road pekee nzuri na imejengwa vzur bongo nzima ukiacha approach za daraja la Nyerere kigamboni kwingine huko ni rubbish tu,ko mm nashauri tuBara bara kujengwa na kuacha nafasi katikati ndiyo zetu, ndiyo maana BRT zinajengwa bila tabu, siyo Sam Nujoma tu, nenda Mbagala, Tegeta kote kuna nafasi kati kati imeachwa kwa makusudi. Kujenga bila mipango ya baadae hilo tatizo lipo Nairobi ndiyo maana BRT imekuwa kitendawili kisicho kuwa na jibu. Kwa hizo ring roads zinazojengwa Dom hazina cha kujifunza kutoka Nairobi.
By chinese!!NAIROBI UPCOMING APARTMENTS,,
THIS IS A JUST A SINGLE PROJECT MORE ONGOING ALL OVER THE CITY
View attachment 1089561
Dubbed The River Estate, the project located on Jodongo road next to Ngara Girls High School will comprise eight apartment blocks – each 34 floors high, with 340 homes per block.
“This iconic project is bound to change the Nairobi skyline as it will be the first project of its magnitude in East and Central Africa; that will give its residence access to the beautiful panoramic views of Nairobi,”