Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

huyo mchina nyuma hapo kanifurahisha kweli kweli naona kaishika flag ya Tz kwa ufasaha zaidi utasema yeye ni mtanzania kasahau kuwa mwenzake ametoka kula kipigo
😂😂😂 Sisi ndio viranja wa wachina Nashangaa wakenya wanafeli wapi wanachakazwa mpaka na vitoto vinavyonuka maziwa
 
Next levels farming, only in Tanzania 🌾🍀🌳🚜

20190505_112755png.png
20190505_112843png.png
20190505_112923png.png
20190505_113015png.png
 
Acha nikupe fact. Unajua TZ iko na more people in extreme poverty than Kenya. So acha kuongea kama nyinyi hamna poverty
Iyo shule iko chini ya serikal Au wananchi? Wanachi wanaweza kua maskini lakin serikal yao ikawajengea shule bora
 
Ahahahah ila ni failed state with fake GDP 😆😆😆😆😆😆

Ona mambo hayo👇👇👇👇👇bullet train


Sasa ata ukilia fake gdp pph failed state ooh bla bla bla hamtatoka from among the poorest countries.
Bullet ikianza kufanya kazi come we talk mate
Huwezi pata kenya kwa list za kipumbavu kama hizi
focuseconomics_poorest_countries_nov_2018-01.png
 
Iyo shule iko chini ya serikal Au wananchi? Wanachi wanaweza kua maskini lakin serikal yao ikawajengea shule bora
Ni public school. Na many public schools in Kenya ni mbaya. Ziliharibiwa wakati wa Moi. But since Kibaki era, zinaimproviwa. Some places are corrupt, but eventually zitakuwa better
 
Ni public school. Na many public schools in Kenya ni mbaya. Ziliharibiwa wakati wa Moi. But since Kibaki era, zinaimproviwa. Some places are corrupt, but eventually zitakuwa better
Zita? hasa iyo middle income siuongo kama shule kama izo bado ziko?nyie bado masikini hamjafikia mahali pakusema mmesogea...boresheni shule,vituo vya afya huduma za maji na umeme ndio urudi hapa
 
Sasa ata ukilia fake gdp pph failed state ooh bla bla bla hamtatoka from among the poorest countries.
Bullet ikianza kufanya kazi come we talk mate
Huwezi pata kenya kwa list za kipumbavu kama hiziView attachment 1088749
LDC inajenga reli ya umeme bullet train kwa pesa zako na MLDC inakopa kujenga reli ambayo ni ya mwaka 50 iliopita😆😆😆😆
 
Back
Top Bottom