Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 15,300
- 33,626
Wapumbavu sana,wanaacha na kufocus na namna ya kuondoa tatizo la njaa linalowakabili wao kutwa kucha ni kuitaja Tanzania!
Mfamaji haishi kutapatapa![]()
Mfamaji haishi kutapatapa![]()
Wanatamani kila kinachofanyika tz na wao wajichomekechomeke hahaha
😂😂😂 Sisi ndio viranja wa wachina Nashangaa wakenya wanafeli wapi wanachakazwa mpaka na vitoto vinavyonuka maziwahuyo mchina nyuma hapo kanifurahisha kweli kweli naona kaishika flag ya Tz kwa ufasaha zaidi utasema yeye ni mtanzaniakasahau kuwa mwenzake ametoka kula kipigo
😆😆😆😆😆👇👇👇
kujishebedua Na vitu vizuri vya wenzake, vyake ni vyake ni upuuuuuuuuziHivi hawa nyang'au wangeandika tu sevilla inaenda Tanzania kungekua na ubaya gani hadi waanze kujiweka naxwao eti sevilla inaenda kwa jirani wa kenya,wapumbavu sana hawa mungikiView attachment 1088493
Watu watapoteana..
Kuja utuoneshe wapi GDP ilipo😆😆👇👇
Nchi y posho nzuri na kitu kidogo hamuwez wasaidia maskiniKenya si Switzerland dada. But by we are slowly deleting those kind of schools. Upgrade at a time
Acha nikupe fact. Unajua TZ iko na more people in extreme poverty than Kenya. So acha kuongea kama nyinyi hamna povertyNchi y posho nzuri na kitu kidogo hamuwez wasaidia maskini
Ahahahah ila ni failed state with fake GDP 😆😆😆😆😆😆Kenya si Switzerland dada. But by we are slowly deleting those kind of schools. Upgrade at a time
Below poverty lineAcha nikupe fact. Unajua TZ iko na more people in extreme poverty than Kenya. So acha kuongea kama nyinyi hamna poverty
Iyo shule iko chini ya serikal Au wananchi? Wanachi wanaweza kua maskini lakin serikal yao ikawajengea shule boraAcha nikupe fact. Unajua TZ iko na more people in extreme poverty than Kenya. So acha kuongea kama nyinyi hamna poverty
Ahahahah ila ni failed state with fake GDP 😆😆😆😆😆😆
Ona mambo hayo👇👇👇👇👇bullet train
Ni public school. Na many public schools in Kenya ni mbaya. Ziliharibiwa wakati wa Moi. But since Kibaki era, zinaimproviwa. Some places are corrupt, but eventually zitakuwa betterIyo shule iko chini ya serikal Au wananchi? Wanachi wanaweza kua maskini lakin serikal yao ikawajengea shule bora
Zita?Ni public school. Na many public schools in Kenya ni mbaya. Ziliharibiwa wakati wa Moi. But since Kibaki era, zinaimproviwa. Some places are corrupt, but eventually zitakuwa better
hasa iyo middle income siuongo kama shule kama izo bado ziko?nyie bado masikini hamjafikia mahali pakusema mmesogea...boresheni shule,vituo vya afya huduma za maji na umeme ndio urudi hapaLDC inajenga reli ya umeme bullet train kwa pesa zako na MLDC inakopa kujenga reli ambayo ni ya mwaka 50 iliopita😆😆😆😆Sasa ata ukilia fake gdp pph failed state ooh bla bla bla hamtatoka from among the poorest countries.
Bullet ikianza kufanya kazi come we talk mate
Huwezi pata kenya kwa list za kipumbavu kama hiziView attachment 1088749