ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,248
Umeelewa lakini nilichoandika? Nazungumzia reserve yenye iko in btn two opposite dual carriage way,,150m unaijua kweli?Road reserve ni 150 metres
Umeelewa lakini nilichoandika? Nazungumzia reserve yenye iko in btn two opposite dual carriage way,,150m unaijua kweli?Road reserve ni 150 metres
Huo ni mtazamo wako tu, mimi barabara zinazopita mtaani kwangu ndiyo naona nzuri zaidi zinakiwango halafu wameweka na taa na sehemu za watembea kwa miguu. Vizuri ukatoa ushauri bora, sasa wewe unashauri Dodoma wajenga kama Thika rd! Yani wachore "BRT only" kwa kutumia rangi wakati Dar hiyo BRT imesha jengwa na mbinu zote tunazijua. Kwenye ishu ya mass transport hapa E.A Tz ndiyo case study, Nairobi barabara hazina ata bus stops achilia mbali intra region bus stops. Wewe baki na ushauri wako au upeleke SomaliaWewe hiyo road ya sam Nujoma sio tu imeacha reserve katikati lakini ndo road pekee nzuri na imejengwa vzur bongo nzima ukiacha approach za daraja la Nyerere kigamboni kwingine huko ni rubbish tu,ko mm nashauri tu
Kumbe render😆😆😆😆NAIROBI UPCOMING APARTMENTS,,
THIS IS A JUST A SINGLE PROJECT MORE ONGOING ALL OVER THE CITY
View attachment 1089561
Dubbed The River Estate, the project located on Jodongo road next to Ngara Girls High School will comprise eight apartment blocks – each 34 floors high, with 340 homes per block.
“This iconic project is bound to change the Nairobi skyline as it will be the first project of its magnitude in East and Central Africa; that will give its residence access to the beautiful panoramic views of Nairobi,”
Kumbe Struggler Gorge pia ni ya mkopo?
Ground breaking has already taken place, they are now excavating the site for constructionKumbe render😆😆😆😆
This is malicious,I have been to budalangi on several occasions and I have never seen a school like this one . Budalangi is the only constituency in the former western province that there is competition for life style I don't think if they can allow this to be in their boundary.Kuja utuoneshe wapi GDP ilipo
Ninyi wa posho mbaya na kitu kikubwa ,mmesaidia maskini vipi ? Au kuwasaidia kwenu ni kuwasukuma huku wawe ombaomba?.Nchi y posho nzuri na kitu kidogo hamuwez wasaidia maskini
Pwahahaha. Acha kutudanganya
Ground breaking has already taken place, they are now excavating the site for construction
View attachment 1089639
View attachment 1089651
Governor Sonko has launched the project
View attachment 1089652
Hatorudi tena na akirudi atarudi na id mpya😆😆😆😆😆Pwahahaha. Acha kutudanganya
View attachment 1089704
![]()
Scenes from the road - Singapore, Malaysia, Hong Kong
A blog about urban ecology, urban forestry, and local nature.www.localecologist.org
![]()
10 Singapore Laws And Secrets Even Singaporeans Don't Know About
The national secrets that even born and bred Singaporeans don't know about. Figure out #10 with a magnifying glass!thesmartlocal.com
Hii style yao ya kisoro sanaHatorudi tena na akirudi atarudi na id mpya😆😆😆😆😆
Alikua nayo jamaa mmoja anaitwa edward wanjala alikua analeta picha za nchi zingine anakwambia nairobi😆😆😆😆Hii style yao ya kisoro sana
Umenikumbusha huyo jamaa Alikuwa Mpuuzi kweli Anaokota picha akizani sie wajingaAlikua nayo jamaa mmoja anaitwa edward wanjala alikua analeta picha za nchi zingine anakwambia nairobi😆😆😆😆
Ombaomba ni wenu sema munakwepa aibu kwa marekani kuonekana ni MLDC alaf hohe hahe😆😆😆😆😆Ninyi wa posho mbaya na kitu kikubwa ,mmesaidia maskini vipi ? Au kuwasaidia kwenu ni kuwasukuma huku wawe ombaomba?.
😆😆😆😆😆😆😆Umenikumbusha huyo jamaa Alikuwa Mpuuzi kweli Anaokota picha akizani sie wajinga
tulipo anza muumbua Akapotea