ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 79,425
- 85,268
Pamoja na hayo bongo bado sana kwenye miundombinu,mpango miji na majengo ya kisasa yaani hata Accra Ghana iko speed sana,,bongo hakuna hata mipango ya interchange za maana ila kujenga stand za mabus tuSpeed ya kucatch up ni ile ya light, Nairobi should be ashamed because Addis has light rail, Dar has a Bus rapid transit system na tena sasa hivi inaanza kujengwa phase 2, JNIA terminal 3 about to open, sgr mega station, 8 lane highway to kibaha, port expansion, construction of modern bus stations, ubungo interchange halafu unambie nbo kuna project hani maana skyscrapers hazisaidii nairobians kufika kazini on time na kuongeza productivity you need things and people to move efficiently. Dar inajitahidi sana katika hilo just check this out
View attachment 1037840View attachment 1037850View attachment 1037851View attachment 1037852View attachment 1037842View attachment 1037843View attachment 1037844View attachment 1037845View attachment 1037846View attachment 1037847View attachment 1037848