kikihboy
JF-Expert Member
- Oct 3, 2017
- 2,812
- 3,168
hii picha ni ya 1880s mzeeStend ya nairobi hii hapa utasema vyoo vya bar๐๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 1037963
hii picha ni ya 1880s mzeeStend ya nairobi hii hapa utasema vyoo vya bar๐๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 1037963
Msee,we rejected this buses, and we ordered modern ones from South Africa,they will be shipped soon to the countryUsiweke completed projects. Tuwekee projects under construction na speaking of BRT tumeona kwa muda mrefu mkijitahidi kushughulikia hilo suala mpaka juzi hapa eti mka ban matatus from entering the CBD huku hamkuwa na means nyingine za kusafirisha wakenya haya na mibasi ya BRT yenyewe sasa, eh Mungu nisamehe but honestly, Kenya inahitaji dawa, mnavyojiita uchumi wa kati ndo vibasi gani hivi? yaani mlichukua mabasi ya kawaida mkapeleka garage na kupaka rangi ya blue, that's it. Sishangai sana lakini coz for a corrupt nation like yours, this is normal
View attachment 1037973
sawa we ona tu renders, soon utakula kwa macho hii BRT yetu kwa kuwa itapendeza kuliko hiyo yenuWakenya wameokota renders za google wanakwambia inajengwa ukiwauliza wapi hawajui๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐๐
View attachment 1037972
sawasawaAkishare tu we nitag bro, nitavua nguo nitembee uchi kwanzia kko mpaka buguruni๐๐๐๐
hawajui kama blue colour tz tunaitumia kwa kuwa inatambulisha nchi yetu ,,wao nao walivyo wajinga wakachukua mikalandinga garage nakupiga blue colour wakati wana red colourUsiweke completed projects. Tuwekee projects under construction na speaking of BRT tumeona kwa muda mrefu mkijitahidi kushughulikia hilo suala mpaka juzi hapa eti mka ban matatus from entering the CBD huku hamkuwa na means nyingine za kusafirisha wakenya haya na mibasi ya BRT yenyewe sasa, eh Mungu nisamehe but honestly, Kenya inahitaji dawa, mnavyojiita uchumi wa kati ndo vibasi gani hivi? yaani mlichukua mabasi ya kawaida mkapeleka garage na kupaka rangi ya blue, that's it. Sishangai sana lakini coz for a corrupt nation like yours, this is normal
View attachment 1037973
Haya tuoneshe picha ya 2019 nivue nguo leo ๐๐๐๐๐๐๐๐hii picha ni ya 1880s mzee
Msee,we rejected this buses, and we ordered modern ones from South Africa,they will be shipped soon to the country
sawa we ona tu renders, soon utakula kwa macho hii BRT yetu kwa kuwa itapendeza kuliko hiyo yenu
Mlikataa hizo zikaenda wapi na leta source inayoonyesha kuwa miliorder mapya kutoka SAMsee,we rejected this buses, and we ordered modern ones from South Africa,they will be shipped soon to the country
Wanafosi tu lkn hawatoweza na hawatoifikia brt yetuHawana space ya kuweka BRT maana yake kama ni thika lazma wabomoe waanze upya wakati hio thika yenyewe imejengwa kwa mkopo na wachina na deni hawajamaliza![]()
back to the companyWhere are they???๐๐๐๐๐
Where are they???๐๐๐๐๐
Where are they???๐๐๐๐๐
Yaani nadhani hela ililiwa kabla hata ya kutoa order. Order inafanywa pesa watu wameshapangia matumizi zamaniiiiiii. Kenya inafurahisha sanaWhere are they???๐๐๐๐๐
He meant the "ordered buses from SA"back to the company
Wanaumia sana wakiona brt inavyopendezesha darWakenya wameokota renders za google wanakwambia inajengwa ukiwauliza wapi hawajui
View attachment 1037972
Lete picha ya 2019hii picha ni ya 1880s mzee
back to the company kwenye zilitokaMlikataa hizo zikaenda wapi na leta source inayoonyesha kuwa miliorder mapya kutoka SA
Na iko ndio kinachokuumeni mungiki,brt sio mchezo mazee,wenzenu tuko kwenye brt phase 2 now,hiyo ya kwenu ya kuunga unga hata 10% ya ujenzi haijafika unadai itapendeza kuliko hii yetu,acheni wivu wa ki kibera nyie mungikisawa we ona tu renders, soon utakula kwa macho hii BRT yetu kwa kuwa itapendeza kuliko hiyo yenu
staishi na kazi ya kurepost, go back to the previous posts utaziona...Tuoneshe inapojengwa unafkiri sisi wageni kenya sindio๐๐๐๐๐
Ila nyie watu mna drama kweli. Haya na hiyo pesa mliotumia kutengeneza hizo buses nani ame compensate? yaani kuna a lot of gaps hapo, something's fishy...back to the company kwenye zilitoka