Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

8620790_i3_jpegabfdb0684e0476b1fadc1eb7d2b91de2.jpg
 
πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡
Wanamcheka magu kununua ndege 7 mpya cash wakat kq inamiliki ndege 3 zilizochoka πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†

 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Hujui ilikuaje hadi thread ikaanzishwa bro mbona unaparama bila hata kuuliza ilikuwaje tukafikia huku. Nduguzo wakenya walikuwa wamejazana humu waulize wako wapi halafu we unakuja kudharau. Wakenya wamekimbia na hii battle kwao ni shetani mkubwa. Karibu chukua kiti kaa kimya tulia uangalia gemu linavyoenda.
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Asante kwakuja pia asante kwa povuu

Hakuna unachojua

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Wewe unahisi Nairobi ni Mars kwamba unaeza enda peke yako! acha ushamba.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Heheheh joined december 2018πŸ˜†πŸ˜†πŸ˜†
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...

Yaani hapo umejipiga mwenyewe na kuipa DAR credit. Umeanza kuonesha kwamba BRT ni mojawapo ya vitu ambavyo Nairobi hamna. Chukua muda wako upitie posts uone vingine
 
πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‡ΉπŸ‡ΏπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡


Hii tunaita TANZANIA is doing 1, LOW DENSITY TOURISM (mtalii mmoja ua kadhaa, wanyama kibao, na sio lile eneo magari 1000 yanaangalia simba mmoja , 2.HIGH QUALITY TOURIST PRODUCT (kwa kuwa hamna msongamano basi hata view nae ni quality, bora, true nature experience We are not doing and we discourage mass tourism 3. HIGH PRICED TOURIST PRODUCT (Kwa kuwa kitu ni high quality , ni lazima kiwe expensive, ndio maana watufudenge wanapokea back packers milion kadhaa wanapata hela laki kadhaa, sisi tunapokea watalalii laki kadhaa revenue rundo million kadhaa, Povu ruksa.
 
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...

Unaishi dar sehemu gani??weka picha.
 
Back
Top Bottom