stephot
JF-Expert Member
- Mar 1, 2012
- 17,746
- 27,216
baba tutafsirie...😛 nimeona na kuelewa 160 km/h na 535 km tu!tanzania sgr photos from the official instagram page of yapi merkezi. for those who are fluent in turkish know what the caption says.
View attachment 1027999View attachment 1028000View attachment 1028001View attachment 1028002View attachment 1028003
waturuki wanawanyorosha wakenya na kituruki chao... hiyo caption mkenya anaona nyotoanyota tu.Mwenyewe nimeambulia Picha, Namba za Km na Makutapora
Hiyo Dar ilivyo Andikwa du
Mungu anawaona waturuki
Watakuambia ooh hatujui english,,,waturuki wanawanyorosha wakenya na kituruki chao... hiyo caption mkenya anaona nyotoanyota tu.



wapite na hiyo sasaMtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Hujui ilikuaje hadi thread ikaanzishwa bro mbona unaparama bila hata kuuliza ilikuwaje tukafikia huku. Nduguzo wakenya walikuwa wamejazana humu waulize wako wapi halafu we unakuja kudharau. Wakenya wamekimbia na hii battle kwao ni shetani mkubwa. Karibu chukua kiti kaa kimya tulia uangalia gemu linavyoenda.Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
According to Google Translate:baba tutafsirie...😛 nimeona na kuelewa 160 km/h na 535 km tu!
Asante kwakuja pia asante kwa povuuMtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...



Wewe unahisi Nairobi ni Mars kwamba unaeza enda peke yako! acha ushamba.Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Heheheh joined december 2018😆😆😆Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...
👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇👇
Mtoa mada acha kuleta paperwork kufanya comparison zisizo na msingi Nairobi haiwezi fananishwa na mji wowote Tanzania yetu achilia mbali Dar es salaam.Bado tuna safari ndefu watanzania ukitaka majibu nenda Nairobi ndo utajua Dar es salaam bado,BRT na mfugale flyover visikutishe...