Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

wakenya wa jf hatuhitaji m-comment chochote ktk hii thread kwa sasa, mbaki kutazama picha picha tu na kusoma comment.

tupo katika msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka(holidays). tunajua katika kipindi kama hiki baadhi ya wakenya fedha za za kutosha huja tz kufanya mapumziko.

hizi ni sehemu 15 zenye mvuto wa kitalii ambazo unaweza kutembelea uwapo nchini tanzania katika mapumziko yako ya holidays.

View attachment 969490View attachment 969491View attachment 969492View attachment 969493View attachment 969494View attachment 969495View attachment 969496View attachment 969497View attachment 969498View attachment 969500View attachment 969501View attachment 969502View attachment 969503View attachment 969504View attachment 969505View attachment 969506View attachment 969507
Wapi Mafia Island?
 
Ujenzi wa mahakama kuu kanda ya musoma ukiendelea na ujenziπŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

CDFF4A5E-A9C4-43B1-80B6-163A84E2EF94.jpeg
517C755C-BA95-4397-8CF7-AEF1B557A948.jpeg
BC086A63-7B74-450B-94C4-88D831516BE7.jpeg
 
120 Reactions
Reply
Back
Top Bottom