Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

We welcome Tanzanians with open arms in kenya but Kenyans are treated like suspects in Tanzania.....if everyone notices you are kenyan anageuka kukuangalia na kuku suspect....lol.
Kwasababu ninyi ni wabaguzi, iweje mnabaguana kwa misingi ya ukabila wakati wote ninyi ni wakenya?, sasa kama watoto wa familia moja hampendani, watoto wa jirani unadhani watawakarobisha kwa upendo bila kuwa naashaka ya kubaguliwa?
 
wakenya ni wachafu mnanuka warembo wenu niwabaya

Mlichoamua sasa nikupitia mlango wa pili
Those ones can easily win the Miss World pergeant.
No.1&2
Miss Tanzania

No.3
Miss Kenya

Who is beautifully?

Tanzania1.jpeg
maxresdefault.jpeg
images (4).jpeg
 

Attachments

  • maxresdefault.jpeg
    maxresdefault.jpeg
    71.6 KB · Views: 17
Hstimaye wakenya kwenye urembo wameamua kuchange gear nakuingia tundu la pili huku wakianza kuwasahau wale blackiest girls na kuchukya maamuzi ya kuwatenga

Miss kenya 2017
images (2).jpeg
 
Leta tarehe inayoonyesha lini Kenya ilitangazwa kuwa Lower middle income, sasa hivi tupo 2018, je hiyo status imepitwa na wakati?
wapi the one and only middle income country highest life expectancy highest quality of life best infrastructure best education and healthcare in east and central Africa
 
hyo ni simple corruption tu na watashikwa uhuru anajitahidi kupigana na ufisadi ww ichoboy huona news za kenya c umeona hivi najuzi watu ambao wanahusika na ufisad wakishikwashillingi million moja kupotea hawezi kufanya tukose kulipa deni nilikuambia siku ambayo China itasema inakuja kuchukua bandari ya Mombasa na jkia kwasababu Kenya imeshindwa kulipa deni uje uniabishe
Anapigana ufisadi wakati fisadi papa ni yeye 😂😂😂😂😂 yeye mwenyewe fisadi sasa atapigania ufisadi vp
 
Back
Top Bottom