Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Ukae ukifaham kwamba highway inayojengwa kutoka kimara hadi kibaha inaflyover 2,weka ubungo interchange,kilwa road weka flyover mbili alafu tupia na mfugale flyover...
Plan iliyopo Ni kujenga zingine mwenge,Morroco, magomeni na pale kamata

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Usisahau kurasini interchange👇👇👇
959C9EA4-4BB3-4991-9AF3-AA3F72B615DB.jpeg
94A6F09F-C798-4D09-B1CC-39089886E6D0.jpeg
 
Serikali haitakuwA inawaruhusu waje wakati wa likizo kuwafunza kiingereza. It's either you people are dunderheads or they don't know how to teach
Ni kweli ila chakufurahisha msipate tabu hata hatutaki kufundishwa ,,,pambaneni na hali zenu.....
Tunafurahia kiswahili ipasavyo....na kinatutosha
 
Back
Top Bottom