Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
I didn't quote him first. Stupid.Nilishakukanya kama usiwe unaquote quote watu hovyo....tulia uwe mtazamaji......au ushasahau....?
I didn't quote him first. Stupid.Nilishakukanya kama usiwe unaquote quote watu hovyo....tulia uwe mtazamaji......au ushasahau....?
Mmhh...!!! Mbona jazba imekutawalaI didn't quote him first. Stupid.
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]yaani umepandikizwa sumu mpaka umekuwa nyoka.....pole my friend tunakupenda sana...Lol.Sina wakati wa kujibizana na bongolala.I've got important matters to attend to
leta souce ya info yako
Na kweli hiyo ni kenya.p.o.p miguuni 😀😀
Mambo ni fireeeeeeee[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]waisome hii kwa utulivu.
View attachment 956677
wenyewe wanaendelea kusugua gaga na matatu ama kweli usimtukane mamba hujavuka mtowaisome hii kwa utulivu.
View attachment 956677
Hawa ngoja tuwachapie hii Brt phase mpya kisha tuwakandamize na ile ya ubungo wataelewa tuHii battle ifungwe sasa. mshindi ni DAR-ES-SALAAM
siku hii thread ikifungwa wakenya watafanya sherehe. wamekuwa wakiomba hilo jambo mwaka mzima huu. halafu moderator kawapuuza. [emoji23][emoji23]Hii battle ifungwe sasa. mshindi ni DAR-ES-SALAAM
siku hii thread ikifungwa wakenya watafanya sherehe. wamekuwa wakiomba hilo jambo mwaka mzima huu. halafu moderator kawapuuza. [emoji23][emoji23]
sisi kwa upande wetu tunataka hii thread iendelee kutrend mpaka 2025. hopefully itakuwa hivyo, la muhimu ni kuomba uhai tu.
Ogopa sana wakenya kwa kupika data ila wakat huu hata upike data iungue bado ataumbuka tu😂😂😂😂😂Kwa data za kupika tu mnaweza
Vipi design ya road watakazo jenga haujapata info yeyote?waisome hii kwa utulivu.
View attachment 956677
Wacha waendelee kutoatoa macho......lane 8 nakuendelea tunazingeneza huko pembezoni mwa mji.... Kwa sasa wacha tuboreshe usafiri bora in city center.....wataelewa tuwenyewe wanaendelea kusugua gaga na matatu ama kweli usimtukane mamba hujavuka mto
Avic iko Westlands sio upper hill wacha kukurupukaACHA UCHOKO AVIC IKO WAPI
https://citizentv.co.ke/news/constr...urity-threat-says-nairobi-county-govt-211302/
waisome hii kwa
Hii battle itafungwa 2025 ili tuwaonyeshe utofauti was dar ya 90sHii battle ifungwe sasa. mshindi ni DAR-ES-SALAAM