tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Jamaa watafrahi sana...pande zile kwanza kuna nyomi lakufa mtuumeonaee.... ni zamu ya watu wa mbagara kufurahia usafiri wa kisasa.
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Jamaa watafrahi sana...pande zile kwanza kuna nyomi lakufa mtuumeonaee.... ni zamu ya watu wa mbagara kufurahia usafiri wa kisasa.
Hapa kuna fly overs zitajengwa nimepita juzi, si chini ya mbili. Halafu mkandarasi ni wa ndani, anapiga kazi unaeza hisi ni Strabag! Yajayo yanafurahisha..
Mkuu nalifahamu hilo ndiyo maana nikasema zaidi ya 7. Hapo umesahau ya Kigamboni bridge. Pia kwenye New Salenda bridge kwenye mdomo lazima waweke interchange (fly over). Ni balaaa yani Bongo kama NewyorkUkae ukifaham kwamba highway inayojengwa kutoka kimara hadi kibaha inaflyover 2,weka ubungo interchange,kilwa road weka flyover mbili alafu tupia na mfugale flyover...
Plan iliyopo Ni kujenga zingine mwenge,Morroco, magomeni na pale kamata
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Mzalendo vipi naona mmeruhusu matatu baada ya kuchoka kujitekenyaLol.. A bunch of vociferous dullards. Products of uMBEYA institute of gossip and insults studies.
Wacha wenzetu waendeelee kujenga vidaraja uchwara vyakupanga matofali vijijini angali hakuna tija yakufanya hivyo...........ngoja tuwaonyeshe how city can be open other nyang'au mindsetKufika 2021 Dar itakua na fly overs zaidi ya 7, Kweli kutangulia siyo kufika.
Ni hatari tupu tunataka watu town waingie kwa kuserereka mwanzo mwisho......Ukae ukifaham kwamba highway inayojengwa kutoka kimara hadi kibaha inaflyover 2,weka ubungo interchange,kilwa road weka flyover mbili alafu tupia na mfugale flyover...
Plan iliyopo Ni kujenga zingine mwenge,Morroco, magomeni na pale kamata
Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
Hii wangeivuta hadi chalinze ingepenezaUpanuzi barabara ya morogoro road ukiendelea kwa kasi😂😂😂😂👇👇👇
View attachment 956843 8 lanes 16km phase one
Ndiyo.......ujue kuna vitu huwa napenda sana kuvisema,,,,,,,if stupid can destroy their brain make sure your IQ it remain to be stupidity,idiot & crazless....Lol..... Naona Wale wanafunzi wa darasa la NNE kutoka Kenya wameshindwa na kazi huko bongo.


Du!Lol.. A bunch of vociferous dullards. Products of uMBEYA institute of gossip and insults studies.
Poleillusions galore
Pole tenaillusions galore
Serikali haitakuwA inawaruhusu waje wakati wa likizo kuwafunza kiingereza. It's either you people are dunderheads or they don't know how to teachNdiyo.......ujue kuna vitu huwa napenda sana kuvisema,,,,,,,if stupid can destroy their brain make sure your IQ it remain to be stupidity,idiot & crazless....
Nipe 5 mrembo...
Ilikua iwe ivyo sema wakabaniwa jiwe na WB so sahv wanapeleka kwa awamu wanatumia pesa za ndaniHii wangeivuta hadi chalinze ingepeneza
Weka picha tuone 160flAvic iko Westlands sio upper hill wacha kukurupuka
Heheh ndio hapo najaribu kuingiza kwenye memory card ya 10gb inaniambia memroy low😂😂😂😂Hii mbona Pasua kichwa