Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

siku hii thread ikifungwa wakenya watafanya sherehe. wamekuwa wakiomba hilo jambo mwaka mzima huu. halafu moderator kawapuuza.

sisi kwa upande wetu tunataka hii thread iendelee kutrend mpaka 2025. hopefully itakuwa hivyo, la muhimu ni kuomba uhai tu.
Ni kweli kabisa na kwa hiko kipindi hakika hawa hatuto debate nao tena tutaachana nao kwani tutakuwa level ya juu,,,waamie kwenye battle na burundi....tushawaacha hawa
 
Ngoja nikutafutie picha iliyo clear hivyo vibanda vyote vipo....
Wacha story za 1970...colourless picture enzi hizo bado kulikuwa na local camera h kwa huu ukanda wetu

Labda unijuze ndani ya hiyo miaka 1970&1980 mpiga picha alitumia type gani ya camera,alikuwa angle gani, aliitwa nani,ulizaliwa hiyo miaka 1970 &1980..?
Ukipata unitag
 
Hadi huruma kila siku wanachapwa na vipya tu. Hapo wanaombea nai yote ijengwe ma flaiova ili waje waringishie humu
miradi yote wanayo tutambia humu ni ile iliyofanywa na mzee mwai kibaki miaka ya 2008-2012. mathalan, thika highway na flyovers.

uhuru kenyatta tangu aingie madarakani hajawahi kukamilisha mradi wowote mkubwa ambao unaweza kuwapa jeuri wakenya mbele ya watz.labda ile sgr yao yenye gari moshi chakavu la kichina.

jpm kaingia madarakani miaka mitatu tu iliyopita, vitu alivyofanya na anavyotarajia kuvifanya viwanapa kiwewe wakenya. ndio maana tunataka hii battle iende mpaka 2025 ili tuje kutathimini nani zaidi kafaidika kati yao na sisi.
 
Baada kuzuia matatu CBD watu wametumia njia mbadala😂😂😂😂😂😂😂👇👇👇
14DB8F5F-E22B-45AC-AB02-560AB70B403A.jpeg
 
Dar inapambana kujinasua na aibu ndogo ndogo, hapa brt pale commuter train electrified,ukigusa kule central corridor sgr. ..wakenya wanajenga malls Na viservant kota basi wanajiona kwao London tayar
ni wajinga wakutupwa
 
Kufika 2021 Dar itakua na fly overs zaidi ya 7, Kweli kutangulia siyo kufika.
Ukae ukifaham kwamba highway inayojengwa kutoka kimara hadi kibaha inaflyover 2,weka ubungo interchange,kilwa road weka flyover mbili alafu tupia na mfugale flyover...
Plan iliyopo Ni kujenga zingine mwenge,Morroco, magomeni na pale kamata

Sent from my SM-J200H using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom