Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

"SOUL" in real life Vs "SOUL" in playstore
571f9ff7c2f43497623adecea307597e.jpeg
87c19c685d1af07017a82290f71aab04.jpeg
 
Kwa upande wa TANZANIA mambo ni moto tunazidi kuona Jiji la Dar es salaam likirndelea kuboresha na kuunda miundo mbinu mipya kwa upande wa barabara ili kupunguza jamz barabarani na hakika mipango na project zinaenda sawa nakufanikisha tatizo la jamz kupungua ....

Ila chakusikitisha kwa upande wa majirani zetu kutoka kenya jiji lao la nairobi limekuwa ni jiji chafu na lipo hoi bin taabani na hii yote ni kwasababu wamefel mioango na wameishiwa mbinu na kufanya kajiji ka nairobi kawe kamejifinya eneo moja nakuzidi kuzalisha majobless kadri siku zinavyozidi songa...


KIDOGO TUPATE PUCHA KADHAA ZA MODERN CITY DAR ES SALAAM CITY..KONKI
View attachment 955034View attachment 955035View attachment 955036View attachment 955037View attachment 955039View attachment 955040
Toa hizi takataka hapa ata hauna aibu ukionyesha huu uchafu?
 
Nenda kugali......au bujumbura huku haupawezi hauna pesa....
Hakuna hoteli poa ya rates za 100usd per night?pesa Niko nayo bt ikikuja ni holidays nakuanga strictly on budget.holiday sio kama business trip ati pesa itarudi,hairudi buda....
 
Okey,ukifika hapa mjni sehemu za kutumia mapene utazifaham tu kwa upande wa makazi fikiria zaidi maeneo ya mikocheni Au Sinza,kama umejiunga na uber inakua rahisi au pia unaweza tumia usafiri wa tax wa kawaida,kwa bei zako izo unapata lodge nzuri sana hapa Dar lodge sio bei kubwa hata...
Kwakua umetokea Nbo ingekua vizur ukae maeneo ambapo Ni karibu na bahari beach hivi inakua poa zaidi...pendelea mikocheni,mbezi beach Au hata masaki /oysterbay unapata lodge kwa bei yako bila shaka
Shukran... kindly ebu suggest hoteli mbili ama tatu za iyo rate 100usd nifanye research kidogo .. thanks.
 
How can you construct a stadium in Dododma ??...Dodoma doesnt have an Airport,has bad roads,looks like isiolo...how??
Ndo usubiri uone bwege wewe airport na stadium zinahusianaje, upo uwanja wa ndege japo sio mkubwa
 
Kulingana na ujinga wa kukosa reason za msingi basi nikusaidie kitu kidogo tu Nairobi ina car na watu wengi kuliko nchi yeyote hapa duniani

ulisahau HATA HII NI PRIVATE PEOPLE
View attachment 954913
We jamaa bhana utawafanya wakimbie kabisaa eti private pipo

ajabu jana kwenye mgomo wa matatu sijaona jam kwa baarabara,.hii inaonyesha wengi hawana magari. Ilipaswa jana ndo PRIVATE CAR ZIJAE KWA ROADS
 
Wachovu kila mahali wapo tu,kumbuka city hua lazima iwe na watu wa aina zote, well kuna mabadiliko kwa sasa nadhan mji umepimwa upya lazima watafanya demolition baadhi ya maeneo na kujenga upya...
Hapa itabidi mbomoe Dar slum karibia yote sababu slum area ni 92%
 
Back
Top Bottom