Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

FB_IMG_15438619227814312.jpeg
 
However yepi markez ina kazi ya feasibility study for commuter train in dar es salaam, so city will not only depend on the road for mass transit, dar could soon have commuter train despite kwa sasa tuko na train ambayo inapiga route zake mjn but iyo ni ya kisasa na ya umeme...bila kusahau BRT phases zinaendelea as scheduled
Mnahangaika na ya kijinga badala ya serikali kujengea wanainchi wake makaazi mazuri ya kuishi...... yenyewe mna kazi kweli kweli hapa
tapatalk_1541879127053.jpeg
tapatalk_1539505863838.jpeg
 
Mnahangaika na ya kijinga badala ya serikali kujengea wanainchi wake makaazi mazuri ya kuishi...... yenyewe mna kazi kweli kweli hapaView attachment 954870View attachment 954871
Wachovu kila mahali wapo tu,kumbuka city hua lazima iwe na watu wa aina zote, well kuna mabadiliko kwa sasa nadhan mji umepimwa upya lazima watafanya demolition baadhi ya maeneo na kujenga upya...
 
Dar ni kubwa sana alaf inabarabara nyingi sana huwez ukakuta foleni ua kipuuzi kama hio kutoka mfano kutoka cbd kuja ilala nina njia zaidi ya 6 kufika ilala so hio foleni itakuwa wapi????? Nairobi ni ndogo sana tena iko congested sehemu moja
ATI nini
tapatalk_1537469109226-1.gif
 
Back
Top Bottom