Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha huahazidaganyi nionyedhe hizo highways kea hii pichaView attachment 955172View attachment 955173View attachment 955174
mda mwingine hata kama unajijua we ni zero basi jitahidi hata kutumia skili ya ziadi uliyozaliwa nayo au hata akili yakuibia,,unapotaka kuziona barabara kupitia picha isiyo eleweka na ikiwa haina ubora ni sawa na kipofu kumuonyesha mtu ambaye si kipofu pesa iliyofichwa chooni

Labda utasaidie wewe hapa ni nairobi labda utuonyeshe barabara kupitia hii picha
images.jpeg
 
Hakuna hoteli poa ya rates za 100usd per night?pesa Niko nayo bt ikikuja ni holidays nakuanga strictly on budget.holiday sio kama business trip ati pesa itarudi,hairudi buda....
Huna pesa nenda kigali au bujumbula...

Mombasa yenyewe haujawahi fika
 
Mwamhie huku kila siku wanatoboa roads za pembezoni,
Mbezi~segerea
Mbezi~goba~tangibovu
Tabata jeshini~korogwe
Na nyingine nyiiiiiingi
Yani mtu alivo mjinga na mji ulivo congested anafurahia kuona gari zimenasa barabarani dar foleni ya kipuuzi kama hio huwez kuta na sasa hvi wanajitahidi kufungua barabara mpya kila leo
 
We jamaa bhana utawafanya wakimbie kabisaa eti private pipo

ajabu jana kwenye mgomo wa matatu sijaona jam kwa baarabara,.hii inaonyesha wengi hawana magari. Ilipaswa jana ndo PRIVATE CAR ZIJAE KWA ROADS
Jamz zimehamia kwa watu a.k.a PRIVATE PEOPLES
 
mda mwingine hata kama unajijua we ni zero basi jitahidi hata kutumia skili ya ziadi uliyozaliwa nayo au hata akili yakuibia,,unapotaka kuziona barabara kupitia picha isiyo eleweka na ikiwa haina ubora ni sawa na kipofu kumuonyesha mtu ambaye si kipofu pesa iliyofichwa chooni

Labda utasaidie wewe hapa ni nairobi labda utuonyeshe barabara kupitia hii picha
View attachment 955341
HAPA NDO NAIROBI
😳😳😳😳😳😳😳 NDO MJI UMEISHA AU?? MBONA NAONA MBUGA TU NA VIJENGO KIDUUUCHU
 
NAOMBENI AREAL VIEW YA JIJI LA NAIROBI KWATIKA UORA WAKE NIONE MAJENGO YA MAANA
 
HAPA NDO NAIROBI
😳😳😳😳😳😳😳 NDO MJI UMEISHA AU?? MBONA NAONA MBUGA TU NA VIJENGO KIDUUUCHU
Hapo ishaisha....hiyo ndiyo town yao na hiyo picha ni yakaribu sana ngoja niipate ile yenyewe iliyomaluza jiji zima na hadi vichaka vyao
 
Back
Top Bottom