Lusematic
JF-Expert Member
- Feb 2, 2017
- 12,051
- 11,839
Wenzenu tunapanga kwa kutekeleza ni jinsi gani yakupunguza foleni nyie mnajisifia kuwa na JamzInajaza ile brt yao yote hadi zingine ziongezwe kwa presidential escort yao. Plus MPs wao wapewe kila mmoja.![]()





Uko tushatoka na tunachofanya nikuboresha kila eneo ikiwemo utaratibu mzuri wa CITY TRANSPOT pia bila kusahau barabara kuboreshwa zaidi ndiyo maana tutawaacha milele
System yenu kuanzia traffic mpaka city transiport utaratibu wenu ni m'bovu
Huku tunapakimbia mdogo mdogo hatutaki foleni za kijinga city center na maeneo yaliyo karibu na town








