Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Jiwe hana pesa.. zile zilikuwa nguvu ya soda..ni mpuuzi pekee ambaye anadanganya watu kujenga sgr ya trln 7 kwa pesa ya ndani.. kwa uchumi upi? Watz wanafanana na wazimbabwe kwa hali mbaya ya uchumi.. na bado..
fafanua mkuu... bado sijakupata
 
Dar ni kubwa sana alaf inabarabara nyingi sana huwez ukakuta foleni ua kipuuzi kama hio kutoka mfano kutoka cbd kuja ilala nina njia zaidi ya 6 kufika ilala so hio foleni itakuwa wapi????? Nairobi ni ndogo sana tena iko congested sehemu moja
Nioyeshe barabara mingi hapa alafu unitag please
tapatalk_1543470321809.jpeg
 
We jamaa fika Dar ndio utajua...barabara ziko nyingi sana ,usihadaike na aerial view huwez kuelewa lolote
Najua vichochoro viko by what about the ma main arteries?naona tu moja chukua picha ya aerial Nairobi alafu usipopata tano unitagg..yenyu moja
 
We jamaa fika Dar ndio utajua...barabara ziko nyingi sana ,usihadaike na aerial view huwez kuelewa lolote
Ebu niambie hoteli poa ya between 7000ksh to 10000ksh per night for like 5days uni inbox ,nilikua nafikiria kwenda Kigali for this Christmas dadangu alikuwa uko August na alipasifia sana bt naeza consider kukuja dar,alafu uniambie maneno ya night clubs coz Mimi I like clubing alot na pia usisahau maneno ya night life venye yukua...thanks .
 
Ebu niambie hoteli poa ya between 7000ksh to 10000ksh per night for like 5days uni inbox ,nilikua nafikiria kwenda Kigali for this Christmas dadangu alikuwa uko August na alipasifia sana bt naeza consider kukuja dar,alafu uniambie maneno ya night clubs coz Mimi I like clubing alot na pia usisahau maneno ya night life venye yukua...thanks .
Nenda kugali......au bujumbura huku haupawezi hauna pesa....
 
Nioyeshe barabara mingi hapa alafu unitag please View attachment 954930
So unataka kushindana na dar kwenye total roads in km 😂😂😂😂 akili yako unaoda dar imeisha hapo???? Upanga iko wapi??? Kariakoo iko wapi??? Kijitonyama iko wapi?? Magomeni and ilala zikwapi??? Ubungo iko wapi???😂😂😂😂kwa dar utapasuka

Sio kama hii city nzima inakaa kwenye picha moja👇👇👇👇👇👇😁😁😁😁😁
582B6A94-D62E-4EA4-ABFD-6502E7C4E7B0.jpeg
 
CBD bila filter kudadeki ntv😂😂😂👇👇👇👇👇👇👇👇 leo hakuna makeup ngoma dry
6060FB27-9DFA-47B5-AE10-D080F7A6143D.jpeg
36B13B27-2788-4FAD-91F0-DC01F81F7A35.jpeg
 
Mbona TV za kenya zina-quality mbovu sana,yaani picha huwa zinapauka ile mbaya
Kila kitu kwao ni magumashi😂😂😂😂

Juzi wamefungua pipeline kutoka msa to nairobi imemwaga lita zaidi ya million 20 za mafuta yani kwao mess ni kitu cha kawaida tu
 
Back
Top Bottom