kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
yaani mkenya anaweza akakuimbia verse zote za wimbo wa mwanamziki taurus relay wa jamaica au verse zote za kwangwaru ya harmonize ft diamond platnumz , lakini kamwe hawezi kuimba hata verse moja ya wimbo wa jua kali au nyashinski.Ila wanamuziki wa Kenya, hawakubaliki hata nchini kwao,![]()
![]()
![]()
tunajua wakenya wengi ni washamba wa music entertainment....so tunatumia hiyo advantage kuja kuchukua pesa zenyu.Lol.....Nairobi nayo mnajua ina hela kushinda darislum nowonder mchana mnatusi Nairobi ilhali hamchelewi kufika![]()
Jamani...kamkunji ndio imekufanya uione dar iko juu ya nairobi...maskini.....anyway huez afford places km westlands si kw ubayaNpo nairobi mpk ss hapa kamkunji.ukweli ni kuwa dar ipo juu sn afrika mashariki.
Sio lazima uamini hata hujawahi kubali. Sababu ya wanamuziki wenu kutoweza kuwakilsha hapa kenya anymore ni hawa vijana chipukizi...hebu lamba lolo kwanza kabla ukate tenje. Tafuta bundles ama wifi kabla ukurupuke.2018 mushaimaliza tayar?????😂😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏
Yani mutoke 74 mpaka 88 within 10 month ***** unafkiri ni kama unahesabau dagaa😂😂😂😂😂😂😂
Vp congo..au bado mnasubiria mpewe ruhusa muingie kichaka muwamalize ADF kw masaa km mnavyodai....So KDF kazi yao nini kula githeri
Unatoka mishipa shingoni ukieneza propaganda........we love our music first. Hata kuna watanzania wanatamani kufika level ya sauti solyaani mkenya anaweza akakuimbia verse zote za wimbo wa mwanamziki taurus relay wa jamaica au verse zote za kwangwaru ya harmonize ft diamond platnumz , lakini kamwe hawezi kuimba hata verse moja ya wimbo wa jua kali au nyashinski.
nasikia sasa hivi wana struggle kukariri mashairi yote ya ngoma mpya ya rayvanny na diamond ya NYEGEZI.
haki wakenya ni watu wa ajabu sana.
Sasa wewe utacompare swag ya Eastlando na tandale au mwananyamala kwa kopa.....fishing village ndio washamba wamejaa.......pesa za kenya nayo mnamezea mate because you know we can afford your cheap shows za 500 bob.hii pia msishangae mkichezwa kabaya.......tumechoka kupatia maskini za LDC supporttunajua wakenya wengi ni washamba wa music entertainment....so tunatumia hiyo advantage kuja kuchukua pesa zenyu.
au kuna ubaya katika hilo?
Jifurahishe na kibera baba..
Peleka facebook huu ujinga uone km watz mtatoka salamaDAR BODY COACHESView attachment 939330View attachment 939331
VS KENYS COACHESView attachment 939332View attachment 939333
Bro we n mshamba sana..sasa kw akili yako unadhani vitu hvo havipatikani nje ya dar...hta somalia wanavyo vitu km hvo...so jaribu kuwa matured kiasi
hio ni creativity au uchafu pesa ya kununua magari mazuri hamuna mumekalia kuunda body kwenye malori![]()

Bila kenya mwanamziki watz anahisi kuwa hajatoka...mwanamziki yyte yule wa bongo..km hajafika kenya hawezi toka kimataifa..thats a facthakuna mwanamziki mtz anayebembeleza kuja kufanya show kenya, do your research. your music promoters and event organizers are to blame. they are the ones who are coming to approach us.
ukweli ni kwamba event organisers wa kenya wanajua kwamba a big event can't make profit and attract a massive turnout of party goers if a tanzania musician is not listed among the main performers.
hata hii wasafi festival ndani ya kenya tunajua si diamond peke yake, kuna mkenya ameweka pesa yake hapo na anajua itarudi tu....diamond asingekubali ku-take risk ya kufanya tamasha kubwa nje ya nchi yake.
ukweli mchungu.

Au sioHuyo anauza mitush gikomba. Achana na yeye maskini hohehahe
Bila kenya mwanamzimi watz anahisi kuwa hajatoka...mwanamziki yyte yule wa bongo..km hajafika kenya hawezi toka kimataifa..thats a fact![]()
![]()
![]()
![]()
![]()




aisee,hebu msaidieni shisky kuvuta music industry ilyokwisha jifia.furaha tele kabisa maana sio kwa walalahoi hao.Jifurahishe na kibera baba..
Unamaono gani kuhusu kupigwa bao kw drimulaini kuhusu safari za india pamoja na chinaKaribu kilizi cha taifa
Unamaoni gani hapa kuhusu zile pesa mulizopoteza kusherekea