Sio lazima uamini hata hujawahi kubali. Sababu ya wanamuziki wenu kutoweza kuwakilsha hapa kenya anymore ni hawa vijana chipukizi...hebu lamba lolo kwanza kabla ukate tenje. Tafuta bundles ama wifi kabla ukurupuke.
Msee kwan bado ziko road? Si mmeambiwa mfute hayo machata na mtoe hizo tires
KDF hua wanakojolewa na alshabab 😂😂😂Vp congo..au bado mnasubiria mpewe ruhusa muingie kichaka muwamalize ADF kw masaa km mnavyodai....
10 years after Kibaki launched the port GoK wameshindwa ku-raise haha $50mln!SGR phase one ni pesa ya tanzania
Phase 2 ndio loan pamoja na pesa za tanzania
Who told u lamu port is fundend by GOK niletee link bro nasubiria pesa ya budget hamuna ***** pesa ya kujenga port munatoa wapi???😂😂😂👏👏👏👏
Interior upuuzi mtupi gari body zimechoka kweli kunguni wataacha kuzaliana humo ndani na bahat mbaya zaidi hua munavaa suti wakati wa joto sijui panakuaje humo😂😂😂![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Dar ukipata gari interior ziko hvo unitag...we unadhani ku pimp gari na uweke screens kila kiti ni tsh million ngapi![]()
![]()
![]()
![]()
Hehehe umehamisha magoli baada ya kugusanisha gololi mbili😂😂😂👏👏👏Unamaono gani kuhusu kupigwa bao kw drimulaini kuhusu safari za india pamoja na china
Graffiti is untouchable my friend.Msee kwan bado ziko road? Si mmeambiwa mfute hayo machata na mtoe hizo tires
Hio ndoto ni ya mchana naimani usiku utaota ndoto njema zaidi😂😂😂👏👏👏Meanwhile, Mombasa beat dar in everything except area, brt and GDP
Hahahha pesa ya budget hawana wamebakia kuuza KPA alaf anazungumza upuuzi hapa 😂😂😂😂😂😂10 years after Kibaki launched the port GoK wameshindwa ku-raise haha $50mln!
Acha pombe Za kienyeji tafadhalHave you ever gone beyond tandale? You know nothing about Kenya. I told you kenya is a religious country,we support our gospel musicians to the fullest and you accused me of tribalism. Did you think that we play kwangwaru in church like you do? Your superstitious country is a disgrace.
👋 👋 umetoka kijijini?Acha pombe Za kienyeji tafadhal
Is more developed of what??? Kwan nairobi inashinda nini dar ea salaam???😂😂😂Ni ukweli ichoboy dar bado sana. Mombasa is more developed. Ukitoa towers dar, inashindia Mombasa nini?
Acha kuhamisha goliMeanwhile, Mombasa beat dar in everything except area, brt and GDP
Nakomaa na kijiji hadi kieleweke![]()
umetoka kijijini?
Lol. Nasikia huko ni kama shimoni. Network ni balaa.Nakomaa na kijiji hadi kieleweke
Sijahamisha. Sema unaogopa.Acha kuhamisha goli
Umeskia wap acha umbea ndugu...Lol. Nasikia huko ni kama shimoni. Network ni balaa.
Heheee inachukua several minutes ku~load. Ulikiri kwamba messages zinachukua muda kukufikia 😂Umeskia wap acha umbea ndugu...
Ni sehemu tu bado hakujachangamka lakin maisha yanasonga