Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

hapana, nyinyi si wajeuri nyinyi ni wajinga.

mnaacha kujaa kwenye show za wanamziki wakenya, mnajaa kwenye show za wanamziki foreigners.

ndio maana wasanii wenyu wanatumika kama curtain raisers kwenye events. (wafungua pazia).
hamuna hela msee... ile time muta afford kuleta Chris Breezy ndani ya dar is Slum uniamshe.
you have no middle class na uko hapa kutupigia makelele tu.
domo kaya wewe
 
Kaka ichoboy naona Leo umeniquote na hujashirikisha matusi. That lecture was fantastic. Now you know money can't buy respect.
Back to the discussion.
Kenya GDP is over $80b yenu inachezea 50s .
2017 source kenya 74 and tz 52 😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏 labda mupike mpaka iungue tena
 
unauliza githeri kwenye local restaurant ya mkikuyu...btw pepsi tanzania is the official sponsor of wasafi festival in tanzania.

they have already signed a big deal with wasafi management.

pia kenya kuna makampuni mengi sana makubwa yanaomba ku sponsor wasafi festival kenya. mtajua hamjui... hapa kazi tu.

kuhusu swali lako, jibu hili hapa. images zinajieleza. nimekuwekea na promo image ya wasafi festival ndani ya uhuru garden december 31.

View attachment 940587View attachment 940589View attachment 940590View attachment 940591
Hahaha ati 10,000 same na punch(ksh500)
Hiii nayo ni umaskini
Tena VIP ni thao(ksh1000)
 
hamuna hela msee... ile time muta afford kuleta Chris Breezy ndani ya dar is Slum uniamshe.

speaking about chris brown, his last show in kenya wasn't organised by a kenyan but by woman named thandi ojeer, she isnt a kenyan.

this woman was an ex girlfriend to the former international footballer of france, claude makelele.

she is the one who payed chris brown sh90 million ($900,000) to perform for 90 minutes in mombasa.

siku ukipata sehemu wameandika thandi ojeer ni mkenya nitag...na siku ukipata mkenya analeta international artist wa level ya chris brown nitag.
 
Hahaha ati 10,000 same na punch(ksh500)
Hiii nayo ni umaskini
Tena VIP ni thao(ksh1000)
subirini mpange foleni kwa geti ya kukatia tiketi tarehe 31 december kwa event kubwa ya wasafi festival uhuru garden.

mtatakiwa kulipa ksh2000, ksh5000 na ksh15000.

kwa jinsi mlivyo washamba wa burudani, tiketi zitaisha mapema kabla ya wakati.

IMG_20181120_164639.jpeg
 

Attachments

  • Screenshot_2018-11-20-14-25-30-178_com.instagram.android.jpeg
    Screenshot_2018-11-20-14-25-30-178_com.instagram.android.jpeg
    146.4 KB · Views: 16
housemaid
mimi huwa sipangiwi vitu vya kukoment. wewe endelea kupiga porojo zako.
 
nawagonga kwa facts....
btw mimi ndio huwa na-influence kipi kiwe kinajadiliwa hapa kwenye battle.

leo nime influence tujadili issue za entertainment na wote mmetii. wote mnajadili entertainment. wote mnanijibu mimi.

kesho nita change motion. nita influence tujadili suala fulani huko kenya. najua hamtoweza kuhepa, wote mtajikuta mnajadili. i'm the top influential figure here.
 
housemaid,
najua uwepo wangu huwa unakutesa sana....ila sina namna ya kukusaidia,endelea kuteseka cos i'm here to stay.
 
subirini mpange foleni kwa geti ya kukatia tiketi tarehe 31 december kwa event kubwa ya wasafi festival uhuru garden.

mtatakiwa kulipa ksh2000, ksh5000 na ksh15000.

kwa jinsi mlivyo washamba wa burudani, tiketi zitaisha mapema kabla ya wakati.

View attachment 940686
Lol.....Nairobi nayo mnajua ina hela kushinda darislum nowonder mchana mnatusi Nairobi ilhali hamchelewi kufika
 
Back
Top Bottom