tuusan
JF-Expert Member
- Jun 30, 2016
- 17,973
- 20,222
Ukizungumzia Mombasa I know utajikita zaidi kwenye bandari au kuna zaidiSijahamisha. Sema unaogopa.
Ukizungumzia Mombasa I know utajikita zaidi kwenye bandari au kuna zaidiSijahamisha. Sema unaogopa.
Hamna nachek movie flan hapa imeniteka kidogoHeheee inachukua several minutes ku~load. Ulikiri kwamba messages zinachukua muda kukufikia![]()
Japo sijafika Mombasa lakini nna uhakika haiWez zidi Dar kwa chochote, mnahadaika na nyumba Dar hata barabara zimejengwa nyingi sana,miji mipya ni mingi jijini na huduma za kijamii kwa ujumlaSocial infrastructure too
SureOK maliza kwanza
Nairobi imeshinda nn dar????😂😂😂Nairobi imeishinda dar .period!
Mombasa Nimeshakwambia. Everything except pop.,brt na GDP.
Hapa sio suala la imani, Mombasa bado ni manispaa tu kwa Dar, Mombasa yote inahemeshwa kinondoni pekee wala sio Dar yoteEndelea kutoamini lakini huo ndio ukweli.Dar ni towers pekee.
Jane acha kutumia nguvu nyingi kwenye mambo yaajabuKila kitu isipokuwa umbea,ufukara na ushirikina
Kila kitu ndio nini??? Huna hoja au😂😂😂Kila kitu isipokuwa umbea,ufukara na ushirikina
Nairobi inshinda nini dar hebu tueleze😂😂😂😂😂😂😂😂Mombasa beat dar in social and economic infrastructures. Roads, schools,hotels, suburbs n.k
Hehehe nimecheka sana😂😂😂😂Jane acha kutumia nguvu nyingi kwenye mambo yaajabu
kwa hiyo sisi tukusaidiaje?.pesa za kenya nayo mnamezea mate because you know we can afford your cheap shows za 500 bob.hii pia msishangae mkichezwa kabaya.......tumechoka kupatia maskini za LDC support
waulize event organizers wa kenya kwanini wana recommend ku-sign deals na wanamziki wa tz. watakupa jibu.Bila kenya mwanamziki watz anahisi kuwa hajatoka...mwanamziki yyte yule wa bongo..km hajafika kenya hawezi toka kimataifa..thats a fact![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
kuna watanzania wanatamani kufika level ya sauti sol
ndio nini hio ili niweze kuweka order?Kenya nakuja kuwauzia vumbi la Congo wiki ijayo! 0713924581
acha nikusaidie kidogo cos najua hizi metaphor za kiswahili cha tz sometimes si rahisi kwa mkenya kuelewa.ndio nini hio ili niweze kuweka order?
Mombasa has more 5* hotels than Dar. That's a fact.Hio ndoto ni ya mchana naimani usiku utaota ndoto njema zaidi![]()
Nobody asked you that.Mzizima towers 35flr, 33flr
Btw Mzizima ni jina jingine la Dar View attachment 940822