Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

So KDF kazi yao nini kula githeriπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡πŸ‘‡

 
Fika nairobi hata pale stand tu.angalia magari yanayotoa huduma za usafiri mikoani.ni ya miaka ya 70 na 80.ni maroli tupu.
Kama haya
1542625256450.png

1542625307402.png

1542625339065.png

1542625369798.png


1542625433434.png

1542625476969.png

1542625650072.png


Ama hizi

1542625701677.png

1542625740459.png

1542625792900.png
 
kwa sisi bao tunaifahamu nairobi kinagaubaga tunafahamu dhahiri shairi kuwa biashara ya matatu inaongozwa na kikundi cha watu wasio na ubinadamu. wameweka maslahi yao mbele kuliko utu.
Screenshot_2018-11-19-14-39-13-637_com.twitter.android.jpeg
 
Back
Top Bottom