ichoboy01
JF-Expert Member
- Mar 6, 2017
- 82,204
- 163,861
Hahaha hajaaamini alijua labda paris😁😁😁😁😁😁Vip kijana hauamini... Ka search Kili Golf uone
Hahaha hajaaamini alijua labda paris😁😁😁😁😁😁Vip kijana hauamini... Ka search Kili Golf uone
Hakuna jengo la 47 floors hapo nairobi acha uongo dogo..I don't argue with fools
Akikuonesha nitag😂😂😂😂Hakuna jengo la 47 floors hapo nairobi acha uongo dogo..
Umesahau na hzi bro😂😂😂Just KariakooView attachment 937398View attachment 937399View attachment 937400View attachment 937401View attachment 937402View attachment 937403View attachment 937404View attachment 937405View attachment 937406View attachment 937407View attachment 937408View attachment 937410View attachment 937411View attachment 937412
Inakaa syriaJust KariakooView attachment 937398View attachment 937399View attachment 937400View attachment 937401View attachment 937402View attachment 937403View attachment 937404View attachment 937405View attachment 937406View attachment 937407View attachment 937408View attachment 937410View attachment 937411View attachment 937412
Yes density ya Dar hakuna mfano katika ukanda huu wa Afrika mashariki na kati
Hasira ni kitu kibaya kwenye maisha😂😂😂😂👇👇👇👇Damascus.......sijui mbona waarabu wanapenda these condor structuresView attachment 937471
So much better than what you have in Nairobi.Damascus.......sijui mbona waarabu wanapenda these condor structuresView attachment 937471
Hawa wakenya majengo yao mengi hayafanyiwi finishing na mengi yana finishing mbaya balaa. Hawa jamaa hawana wataalam skilled wa ujenzi kama Tanzania.
Hapo ni rome au??
kilaza edward wanjala next monday narudi upya jf baada ya likizo fupi.
i'll be having some serious debate about issues that are affecting kenya socially and economically.
i will go toe to toe with you....nataka turudishe ile battle yetu ya 2017 kati ya wewe na mimi mpaka ukaamua kutoweka jf. ukawa unaingia jf kwa alternative account ili usome kinachoendelea.
i hope this time around hutonikimbia maana najua wakenya huwa mnaniogopa sana.
Kuna siku niliangalia ktn news watangazaji wanapambana Na kiswahili sana, nilivyoona ni kwamba hakuna waalimu wa kiswahili waliobobea Kenya,kiswahili kinachozungumzwa kinaleta maswali kidogoHaya ni makosa watanzania wengi wanafanya. Hawajui tofauti ya r na l ndio maana nikakuuliza. Sijui kwa nini umeleta maana ya dhahiri sikuwa nimeuliza. Mnaweza shindwa na wanyarwanda swahili
Kelele nayo mnapiga kama chirikuView attachment 937190View attachment 937195View attachment 937200View attachment 937206
Ni vigumu kukumbuka lakini kulikua na makosa mengi sana,hao wanahabari wamefunzwa na walimu acha uzembe, utaenda ku-andaa habari vipi kama lugha inasuasua..lakini ni kawaida yenu kuzungusha kila jamboHebu lete mfano acha kubwabwaja. Tena huwezi linganisha wanahabari na waalimu.
Aaah picha nzuri sana,dar ni khabari nyingine nowdays..
Mbona hukuangalia citizen? Ujue wanahabari wengine wameishi Nairobi kama wamezingirwa na watu ambao wanazungumza sheng' hivyo wanaweza kuwa waliambukizwa usheng'. Jaribu kuangalia chaneli zingine. Pia ningekushauri ujaribu kuangalia vitabu vya kiswahili vya Kenya. Havina tofauti na vyenu. Ni kiswahili mufti.Ni vigumu kukumbuka lakini kulikua na makosa mengi sana,hao wanahabari wamefunzwa na walimu acha uzembe, utaenda ku-andaa habari vipi kama lugha inasuasua..lakini ni kawaida yenu kuzungusha kila jambo