Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi


8146448_images11_jpeg0a11a8ec37620e47e4feab56245e56df

8146449_images10_jpegb19bb7c7b1c875d6912385c98509089b
 
MAYBE YOU ARE
Watanzania tumefundiswha ustaarabu tangu zamani, Kenya hampendi majirani wenu wafanikiwe kuwazidi, hata mkiaangalia humu Watanzania ni nadra kutumia neno chuki, ila kwenu ni kitu ipo moyoni mwenu ma ndio defensive mechanism yenu eti Watanzania tunawachukia.

Angalia hata baadhi ya wabunge wenu walivokuwa wanadandia suala la Bobby wine (Ile haina tofauti na kuingilia internal affairs za Uganda).

Mwisho, That so called Middle Income kwa standard zenu tushavuka, now tunahakikisha nchi yetu hakuna mtu anakufa kwa kunywa maji machafu, Sisi kila kata ina Shule hata huko umasini, kila Kata inaboreshewa Zahanati,sasa tunahakiksiha Kila Kaya ina uhakika wa maji safi na salama
TALKING ABOUT DIFFERENT TANZANIANS.....WA HAPA WA KUITA WENZAO KAHABA NA MONKEY NDIO HUWAONI...SMH.
SELECTIVE AMNESIA SYNDROME?
 
Watanzania tumefundiswha ustaarabu tangu zamani, Kenya hampendi majirani wenu wafanikiwe kuwazidi, hata mkiaangalia humu Watanzania ni nadra kutumia neno chuki, ila kwenu ni kitu ipo moyoni mwenu ma ndio defensive mechanism yenu eti Watanzania tunawachukia.

Angalia hata baadhi ya wabunge wenu walivokuwa wanadandia suala la Bobby wine (Ile haina tofauti na kuingilia internal affairs za Uganda).

Mwisho, That so called Middle Income kwa standard zenu tushavuka, now tunahakikisha nchi yetu hakuna mtu anakufa kwa kunywa maji machafu, Sisi kila kata ina Shule hata huko umasini, kila Kata inaboreshewa Zahanati,sasa tunahakiksiha Kila Kaya ina uhakika wa maji safi na salama
Baada ya mseven kuwanyima bomba la mafuta pamoja SGR sasa wakawa na hasira dhidi yake😂😂😂😂
 
can you compare with this?

Una compare nini hapo hebu tueleze yetu ni modern electric bullet train yenu ni msukule wa diesel uliotukiaka miaka 100 iliopita hapo unataka comparison gani??? Yetu ni welded rail yenu ni bolt jointed rail yani full vibration unafananisha unga na sukari kweli???😂😂😂😂😂😂
 
Wanaulizana who is who??😂😂😂😂 failed state👇👇👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom