Papi Chulo
JF-Expert Member
- Jun 8, 2018
- 6,260
- 7,397
Mbona mnarudia picha hiyo hiyo,nilitegemea utaleta picha tofautiMisbehave tena uoneView attachment 936989
Mbona mnarudia picha hiyo hiyo,nilitegemea utaleta picha tofautiMisbehave tena uoneView attachment 936989
Maisha kwa jirani👇👇👇👇😂😂😂😂
Saidieni hao maskini
Lol.......we have visited Tanzania msee......maybe mzungu akiwaambia nyi ni maskini wa kutupwa mtawaskia Ile mkenya akiwaambia mtamtukana......half empty half full perspective. Tanzania hata HDI na No if middle class tumewashinda......what is it that you hate kenya for being a better country than you guys. You can challenge me using facts from international sources not machinations and innuendoHao ndio middle income wa Kenya.
Janerose mzalendo mnasemaga mshaga maliza umaskini, wakati hata maji ni shida
Wenzenu Tanzania maji ya Bomba hadi vijiji vya ndani
Citizen tv picha zake mbovu hazina ubora, sijui ni channel gani ina kipindi cha my property ndio hua naangalia, mambo ya real estate..Mbona hukuangalia citizen? Ujue wanahabari wengine wameishi Nairobi kama wamezingirwa na watu ambao wanazungumza sheng' hivyo wanaweza kuwa waliambukizwa usheng'. Jaribu kuangalia chaneli zingine. Pia ningekushauri ujaribu kuangalia vitabu vya kiswahili vya Kenya. Havina tofauti na vyenu. Ni kiswahili mufti.
Hahaha daah kwani kuliungua?So much better than what you have in Nairobi.View attachment 937483View attachment 937484View attachment 937485View attachment 937486View attachment 937487

inakuaje nchii kama yenu watu wanafua kwenye maji machafu??Tutawasaidia pamoja na ombaomba wenu. Tupo vizuri
I've cited my sources to be books written by a guy who traveled these parts, just read the books and see if I lied. And as for Ethiopia read " Italian East Africa " online. If you need these books I'll send you via email. Weak africans eh? They were lucky Milambo was dead by the time they arrived, Mkwawa fought with advanced Germans military for more than three years until he took his own life, and he was just a middle aged man with a disorganized army. Tanganyika is not your average Kenya. Even a weak old Isike fought Germans in 1890s. Need books? Pm me your email
Hv Kenya simna janga la njaa. ..uhaba wa maji safi,umeme bado haujafika kote,barabara bado kuna sehemu hawazijui...inakuaje sasa unasema Tz wakati kwenu kunafoka MoshiThese people live in denial and you can't change them.Their media is controlled by the gvt so a lot is concealed. People live in abject poverty in the villages.
We are still developing and we don't live in denial like you. Our media exposes everything unlike yours. Mkiambiwa kwenu MNA mafukara mnapinga.Continue exaggerating achievements but you know for a fact that you have a long way to go.Hv Kenya simna janga la njaa. ..uhaba wa maji safi,umeme bado haujafika kote,barabara bado kuna sehemu hawazijui...inakuaje sasa unasema Tz wakati kwenu kunafoka Moshi
Nandi resistance is taught in secondary schools huku Tanzania. The Nandi resistance is similar to other tribal resistances like the wagogo resistance.The problem with you and most Tanzanians is Lack of exposure. You know pretty much of your nation's history and remaim ignorant on others. Did you know that the Nandi of Kenya were the Longest resistance movement in the region? The British had to send military war troops to capture their land just when they were about to give up. If all Kenyans were Nandis then definitely Kenya could have never been colonized. Kenya's diversity was the main reason why it was Colonized.
Mafukara wapo Kwani Ilo nalo linahitaji malumbano?if they don't want to work what do you expect..GoT cannot feed lazy pipo they have to work,huduma kama maji umeme, barabara na elimu Ndio kazi ya serikal...umaskin mwingine wakujitakia tuWe are still developing and we don't live in denial like you. Our media exposes everything unlike yours. Mkiambiwa kwenu MNA mafukara mnapinga.Continue exaggerating achievements but you know for a fact that you have a long way to go.
Lol.......we have visited Tanzania msee......maybe mzungu akiwaambia nyi ni maskini wa kutupwa mtawaskia Ile mkenya akiwaambia mtamtukana......half empty half full perspective. Tanzania hata HDI na No if middle class tumewashinda......what is it that you hate kenya for being a better country than you guys. You can challenge me using facts from international sources not machinations and innuendo
Teh teh teh na hapo wanaita CBD kuna majengo kama magerezaHahaha daah kwani kuliungua?![]()