Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nairobi ni chafu acha uongo ,slums ni chafu downtown kuchafu,ni rahisi ku maintain CBD na sehemu kadhaa planned tu,tena ukisema Dar ni chafu napata waswas maybe tour yako imestick zaidi na kasoro
Hujaona chochote kizur kwa sababu hakiko katika matarajio yako
Nimeona mengi mazuri Dar kuna majumba ningetamani yawe Nairobi. Pale Bagamoyo pahali pa historia nzuri. Ancient buildings nk
 
tunakukaribisha tena,,,karibu kisha tutafute na kwasasa hivi tunakushauri ukija upige picha zakutosha hapo kwenye uchafu wa daraja ili uwathibitishie ndugu zako....
Ila kwa sasa wanjaa umekosa hoja kabisa umeishiwa hoja...
Unajua mi nimekuwa huko juzi. Mara hii nikirudi ntakutafuta. Unioneshe hiyo Oyster bay mnataja hapa. Halafu, Kigamboni bridge. Nyerere bridge. Juzi imejengwa, sahi uchafu umetapakaa kote. Mbona wasiweke watu wa kufanya usafi!??? Hasa pale kwenye muzunguko ukitoka kwa Tol
 
Nairobi ni chafu acha uongo ,slums ni chafu downtown kuchafu,ni rahisi ku maintain CBD na sehemu kadhaa planned tu,tena ukisema Dar ni chafu napata waswas maybe tour yako imestick zaidi na kasoro
Hujaona chochote kizur kwa sababu hakiko katika matarajio yako
Tulimpatia kazi Sonko. Mombasa tukampa Joho. Huezi amini miji hii miwili ilivyo boreshwa kwa sasa. Sahi Mombasa inapigiwa mfano wa Santorini Greece. Blue and white
 
Nairobi ni chafu acha uongo ,slums ni chafu downtown kuchafu,ni rahisi ku maintain CBD na sehemu kadhaa planned tu,tena ukisema Dar ni chafu napata waswas maybe tour yako imestick zaidi na kasoro
Hujaona chochote kizur kwa sababu hakiko katika matarajio yako
Ebu leta picha ya downtown recent (this year) Ukipata yenye uchafu uilete.
 
tunakukaribisha tena,,,karibu kisha tutafute na kwasasa hivi tunakushauri ukija upige picha zakutosha hapo kwenye uchafu wa daraja ili uwathibitishie ndugu zako....
Ila kwa sasa wanjaa umekosa hoja kabisa umeishiwa hoja...
Inakaa hata wewe si mtu wa Dar. Unakaa ni mtu huelewi jiji lako mwenyewe. Nashuku kama hata mwenyewe unajua Dar. Kama unaishi Dar, piga sahi picha kwa simu leta hapa.
 
Kulingana na ukosefu wa hoja kutoka kwa edward wanjaa nakuonyesha dhahili kuwa ni comedian of century hebu twende za haya

NAIROBI CITY CENTER UNDERGROUND
.
kid.jpeg
 

Attachments

  • 0623-OEASTLEIGH-EASTLEIGH-KENYA-SOMALIA.jpeg
    0623-OEASTLEIGH-EASTLEIGH-KENYA-SOMALIA.jpeg
    159.7 KB · Views: 16
Tulimpatia kazi Sonko. Mombasa tukampa Joho. Huezi amini miji hii miwili ilivyo boreshwa kwa sasa. Sahi Mombasa inapigiwa mfano wa Santorini Greece. Blue and white
Hata Dar ilikua chafu miaka 3iliopita kwa sasa walau kunamaboresho makubwa sana, haha ati Santorini lol we jamaa acha kufumba watu macho hapa...
 
IMG_20181115_084021.jpg

Sasa mtu ananipinganisha. Wabongo kweli no bongobongo. Inakaa kama town. Na tena kama village.
 
Nimeona mengi mazuri Dar kuna majumba ningetamani yawe Nairobi. Pale Bagamoyo pahali pa historia nzuri. Ancient buildings nk
Sihua mnasema dar kuna nyumba tatu pekee haha sasa izo nyumba zimeibukia wap tena...tatizo lenu yani kusifia dar mlishaambiwa ni dhambi kubwa
 
Kulingana na ukosefu wa hoja kutoka kwa edward wanjaa nakuonyesha dhahili kuwa ni comedian of century hebu twende za haya

NAIROBI CITY CENTER UNDERGROUND
kid.jpeg
images (12).jpeg
images (11).jpeg
nairobis-city-center-E15BG8.jpeg
2335841877_305512b6eb_b.jpeg
images (10).jpeg
images (9).jpeg
906315.jpeg
eastleigh.jpeg
images (8).jpeg
images (7).jpeg
DSCN8283.jpeg
images (6).jpeg
SOUTH-C-FLOODED.jpeg
images (5).jpeg
images (4).jpeg
210396493-rotonda-trafico-reglas-de-transito-guardia-urbano-cuello-de-botella.jpeg
 
BREAKING NEWS: next week from monday narudi jf kwa kishindo...narudi kuliamsha dude...narudi kwa hoja mujarabu na facts zenye ujazo. manyang'au ya kenya mjipange.

niliamua kujiweka kando na social media kwa mda ili ku refresh brain yangu.
 
BREAKING NEWS: next week from monday narudi jf kwa kishindo...narudi kuliamsha dude...narudi kwa hoja mujarabu na facts zenye ujazo. manyang'au ya kenya mjipange.

niliamua kujiweka kando na social media kwa mda ili ku refresh brain yangu.
Naona mhindi anakupa leave
 
NNaishi kayole siishi Dar ila Nikikosa shughuli zakufanya nitakupigia.....ila kikubwa siwezi piga picha sehemu ambayo tiyari naijua ipo vipi kimazingira ipo poa...
Inakaa hata wewe si mtu wa Dar. Unakaa ni mtu huelewi jiji lako mwenyewe. Nashuku kama hata mwenyewe unajua Dar. Kama unaishi Dar, piga sahi picha kwa simu leta hapa.
 
Back
Top Bottom