Edward Wanjala
JF-Expert Member
- Nov 3, 2016
- 8,122
- 6,429
Watu huuzia nguo na vitu vingine hapa hapa. Kweli ama uongo!??Kataa na hii sasa😂😂😂👇👇👇
View attachment 934895
Watu huuzia nguo na vitu vingine hapa hapa. Kweli ama uongo!??Kataa na hii sasa😂😂😂👇👇👇
View attachment 934895
Bado ulikua ujenzi unaendelea waliruhusiwa kutumia ilie wafanye majaribio😂😂👇👇Sasa wapi hapo!??
Haya, flyover imekamilika Dar. Ila hapa inapopitia ni City!?? CBD!?
View attachment 934894
Sasa wapi hapo!??
Haya, flyover imekamilika Dar. Ila hapa inapopitia ni City!?? CBD!?
View attachment 934894
daraja imeanza jengwa
Hiyo Barabara hata haitoshi kuwa katikati ya jiji. Ona ilivyo chakaa.
View attachment 934855
Ichoboy huwezi kubali. We mwenyewe unaishi Dar au wapi!? Sababu ungekubaliana nami kwa mambo hapa.Bado ulikua ujenzi unaendelea waliruhusiwa kutumia ilie wafanye majaribio😂😂👇👇
View attachment 934901





Ngoma imewakalia kooni sasa hvi wanahangaika kupost hata kma ni picha constructiom ikiendelea![]()
Alikuambia kuwa hapo ni katikati ya jiji ni nani....na isitoshe hiyo road ilitanuliwa umeweka picha ya zamani sana.....pitia video hiyo maana unaropoka vitu usivyovijua
Hii ndio Nairobi downtown? Haha Wanjala maneno yoote uliosema juu ya Dar yamejifutia hapa, I thought I told ya that u're city is dirty an unkemptHazifanani brohapa sio nairaland utafanganya vile unavojiskiaView attachment 934873View attachment 934874View attachment 934875View attachment 934876View attachment 934877View attachment 934878View attachment 934879View attachment 934880View attachment 934881View attachment 934882View attachment 934883View attachment 934884View attachment 934885View attachment 934886View attachment 934887
Sikusema daraja lenyewe. Daraja lipo vizuri. Nyumba ambazo zipo maskani Yale ni kama vile WajirUsishangae magari kupita ukajua ndio tayari ujenzi bado ulikua unaendelea😂😂
View attachment 934904
Hapo sio katikat ya Jiji, wanjala unatoka jasho sanaHiyo Barabara hata haitoshi kuwa katikati ya jiji. Ona ilivyo chakaa.
View attachment 934855
Hahaha nilimuuliza hapo ni wapi akakosa jibu. Hamna popote Nairobi pana kaa hivi. Ama aseme ni wapi.Hii ndio Nairobi downtown? Haha Wanjala maneno yoote uliosema juu ya Dar yamejifutia hapa, I thought I told ya that u're city is dirty an unkempt
Nini wewe. Kijitonyama wadhani hatujui!?Hapo sio katikat ya Jiji, wanjala unatoka jasho sana
Ii linganisha na Isioloabeid karime terminal 1View attachment 934447View attachment 934448View attachment 934449
abeid karume terminal2
View attachment 934444
View attachment 934445View attachment 934446
Iyo ni Nairobi kubali mnazingua tu,mko na sehemu kibao chafu tena chafu sana lakin iko busy kuchambua Dar hapaHahaha nilimuuliza hapo ni wapi akakosa jibu. Hamna popote Nairobi pana kaa hivi. Ama aseme ni wapi.
Na hua mnaconfuse kijitonyama na mwananyamala...mbona mko na kazi sanaNini wewe. Kijitonyama wadhani hatujui!?
Nairobi ni chafu acha uongo ,slums ni chafu downtown kuchafu,ni rahisi ku maintain CBD na sehemu kadhaa planned tu,tena ukisema Dar ni chafu napata waswas maybe tour yako imestick zaidi na kasoroIchoboy huwezi kubali. We mwenyewe unaishi Dar au wapi!? Sababu ungekubaliana nami kwa mambo hapa.
Mimi nikikwambia, Nairobi ilikuwa chafu lakini sahi ilingarishwa. Huwezi pata uchafu taun. Slums Tu zimebaki. Lakini dawa yake inakuja. Affordable housing phase 1 umeanza. Sisemi Nairobi kizuri hata sisi hufokea Sonko. Lakini kwa kweli Dar kufika Nairobi itachukua miaka. Si ushabiki hapa.