Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Wakenya mumejiandaa kumpa diamond pesa kwa wingi😂😂😂👇👇👇👇
DC080887-30C6-4491-A130-A87A3B2DD8BA.jpeg
 
Watu wa thika mumejiandaa 😂😂😂😂👏👏👏👏🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿👇👇👇maana nimeongea na watu wa comoro wamesema wako sawa je wa thika kenya wanajua hawajui😁😁😁😁😁😁😁😁😁
7228D3E7-0D33-487E-8352-6023B6C3C270.jpeg
 
Wawachezee wakina harmo rapa kwa sasa lazima watazifuata sheria wakizingua inakula kwao
mimi hofu yangu ni hujuma tu...hawakawii kulegeza nati na za jukwaa.

wanamziki wa kitz kuanzia sasa wawe makini sana wanapoenda kupiga show kenya. wakenya si binadamu, ni manyani.wana roho mbaya sana na wivu uliopita kiwango.
 
Huyo jamaa hana akili na alisema road imechoka akiwa ameleta picha ya 2013 kabla haijatanuliwa
nakuona umefanya kitu ambacho hukutegemea.

Sasa hii picha ina tatizo gani??

Halafu mwanzo ulisema hapo ni city centre,embu google city centre to victoria ni km ngapi!!.
 
Jana kuna mkenya alikua akipost military equipments sasa wasiwasi wangu isije kua wameuziwa bunduki za kichina ndani risasi hazina😂😂😂👇👇👇watu wamepiga pesa

 
Hao ndiyo wakenya bhana a.k.a wazee wakujichomesha kila uchao ni watu wakulost tu
Jana kuna mkenya alikua akipost military equipments sasa wasiwasi wangu isije kua wameuziwa bunduki za kichina ndani risasi hazinawatu wamepiga pesa

 
Back
Top Bottom