Yanafurahisha😂😂😂
Yanafurahisha😂😂😂
welcome back, mbona watakimbia mchana kweupeBREAKING NEWS: next week from monday narudi jf kwa kishindo...narudi kuliamsha dude...narudi kwa hoja mujarabu na facts zenye ujazo. manyang'au ya kenya mjipange.
niliamua kujiweka kando na social media kwa mda ili ku refresh brain yangu.
wanaujua vizuri sana mziki wangu.welcome back, mbona watakimbia mchana kweupe
Yeah, I knowwanaujua vizuri sana mziki wangu.
Buda wewe ata iyo akili ndio hauna
mimi hofu yangu ni hujuma tu...hawakawii kulegeza nati na za jukwaa.
mimi hofu yangu ni hujuma tu...hawakawii kulegeza nati na za jukwaa.
View attachment 934933
Sasa mtu ananipinganisha. Wabongo kweli no bongobongo. Inakaa kama town. Na tena kama village.



nakuona umefanya kitu ambacho hukutegemea.
mimi hofu yangu ni hujuma tu...hawakawii kulegeza nati na za jukwaa.
wanamziki wa kitz kuanzia sasa wawe makini sana wanapoenda kupiga show kenya. wakenya si binadamu, ni manyani.wana roho mbaya sana na wivu uliopita kiwango.
nakuona umefanya kitu ambacho hukutegemea.
Sasa hii picha ina tatizo gani??
Halafu mwanzo ulisema hapo ni city centre,embu google city centre to victoria ni km ngapi!!.


Jana kuna mkenya alikua akipost military equipments sasa wasiwasi wangu isije kua wameuziwa bunduki za kichina ndani risasi hazinawatu wamepiga pesa