Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kulingana na ukosefu wa hoja kutoka kwa edward wanjaa nakuonyesha dhahili kuwa ni comedian of century [emoji38][emoji38][emoji38][emoji38] hebu twende za haya[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]

NAIROBI CITY CENTER UNDERGROUND
[emoji116][emoji29][emoji116][emoji116][emoji29][emoji29][emoji29][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116][emoji116]View attachment 934938View attachment 934939View attachment 934940View attachment 934941View attachment 934942View attachment 934943View attachment 934944View attachment 934945View attachment 934946View attachment 934947View attachment 934948View attachment 934949View attachment 934950View attachment 934951View attachment 934952View attachment 934953View attachment 934954
Aibu zao
 
Picha hizi hizi umepost hapa juzi ukasema ni upanga aya adabu hauna angalau uedit kidogo....yaa akili kama ya panzi
tapatalk_1537469109226-2.gif
 
Welcome back bro[emoji1][emoji1][emoji1] maana hawa tumbili wakikenya washapagawa
BREAKING NEWS: next week from monday narudi jf kwa kishindo...narudi kuliamsha dude...narudi kwa hoja mujarabu na facts zenye ujazo. manyang'au ya kenya mjipange.

niliamua kujiweka kando na social media kwa mda ili ku refresh brain yangu.
 
Hana akili huyo ...hajui hata capacity ya passenger wanaoingia zanzibar wakiwemo watalii
Msee umekasirika [emoji23][emoji23][emoji23][emoji122][emoji122] uneona vile terminal2 inamaliziwa ujenzi[emoji16][emoji16]
 
Hii ndio Nairobi downtown? Haha Wanjala maneno yoote uliosema juu ya Dar yamejifutia hapa, I thought I told ya that u're city is dirty an unkempt
Hapo ni 2016 kidero akiwa governor,tangu sonko akue governor wa Nairobi imekua Safi kama pamba
 
Back
Top Bottom