Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Picha hizi hizi umepost hapa juzi ukasema ni upanga aya adabu hauna angalau uedit kidogo....yaa akili kama ya panzi
tapatalk_1537469109226-2.gif
 
Welcome back bro maana hawa tumbili wakikenya washapagawa
BREAKING NEWS: next week from monday narudi jf kwa kishindo...narudi kuliamsha dude...narudi kwa hoja mujarabu na facts zenye ujazo. manyang'au ya kenya mjipange.

niliamua kujiweka kando na social media kwa mda ili ku refresh brain yangu.
 
Hii ndio Nairobi downtown? Haha Wanjala maneno yoote uliosema juu ya Dar yamejifutia hapa, I thought I told ya that u're city is dirty an unkempt
Hapo ni 2016 kidero akiwa governor,tangu sonko akue governor wa Nairobi imekua Safi kama pamba
 
Back
Top Bottom