Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi Kunya wanaishi watu au nguruwe???๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚View attachment 934840View attachment 934842View attachment 934843
Hapo ni wapi!!!?
IMG_20181115_084841.jpg

Nyuma ya hizo towers, vinyumba gani vipo!?? Tazama hapa
 
Usiweke aerial. Hapa Tu. Leta picha ya ground. Hapo hiyo foot bridge inaaishia. Pachafu aisee. Halafu box culverts hapo lorry imesimama. Hakuna kitu unaweza niambia na hii mji

Akhakaha angalia picha kulikua hakuna pedestrian bridge angalia hio picha niliokuekea sasa hvi unapost pic kipindi ujenzi wa BRT ulipokua unaendelea hahaha wanjala๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚๐Ÿ˜‚
 
Picha ya juu ni movent za kawaida hapo mradi wa DART ulikuwa bado unaendelea na picha ya pili hapo ni sokoni na sikatikati ya jiji kwani katikati ya jiji hakuna soko linalosimamisha maji hivyo ...
Unajua mi nimekuwa huko juzi. Mara hii nikirudi ntakutafuta. Unioneshe hiyo Oyster bay mnataja hapa. Halafu, Kigamboni bridge. Nyerere bridge. Juzi imejengwa, sahi uchafu umetapakaa kote. Mbona wasiweke watu wa kufanya usafi!??? Hasa pale kwenye muzunguko ukitoka kwa Tol
 
Back
Top Bottom