Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Kwao ni sifa kwasababu ni moja ya attraction of tourism japokua walikasirika kuambiwa kua wanataka kuifanya kibera kua national park

Meanwhile in tz..eti wabongo hawawahusudu wazungu...cheki mitaa ya middle class in tz...yani wamepanga foleni kuwaona wazungu wakipita kw unplanned suburbs zao
38973868885_86033ebb8b_z.jpg
 
Kumbe leo umeelewa maana ya mawazo ya mtu binafsi... sasa ya nn kuleta screen shots za Twitter km evidence hapa jf..au leo msapere kakubana ukashindwa pa kutokea...

Yani umejishoot mwnywe leo
Munaiombea tanzania isifanikiwe wakat ndio kwanza inasonga mbele😂😂😂😂
Roho mbaya zenu hazitasaidia tanzania isiendelee na huu ni mwanzo jamaa anamiaka mitatu imagine bado miaka7😂😂😂😂😂🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶🎶
 
Back
Top Bottom