Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Achana na hawa jamaa hawawezekani🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿🇹🇿

6BC1F516-8CC2-4F3B-AF95-C3618FB9380A.jpeg
 
Tumewashinda kwa kutokuwa na slum kubwa duniani..
Hivi nikuulize wewe kwenu kuwa na slum kubwa kubwa nyingi ni sifa??
Hv nikuulize..kutokuwa na slum kubwa duniani..ndio vigezo vya nchi kuongoza kw ubora duniani...sitaki mihemko hapa wala povu
 
Wazungu wakibanwa wanakuja na hoja hio baada ha kuzuia makinikia sasa amani hawan by the way ni mawazo ya watu kama wewe tu
Kumbe leo umeelewa maana ya mawazo ya mtu binafsi... sasa ya nn kuleta screen shots za Twitter km evidence hapa jf..au leo msapere kakubana ukashindwa pa kutokea...

Yani umejishoot mwnywe leo
 
Hv nikuulize..kutokuwa na slum kubwa duniani..ndio vigezo vya nchi kuongoza kw ubora duniani...sitaki mihemko hapa wala povu
Slum zenu haziitwi tu slum bali zinaitwa worse slums elewa point hzo mbili😂😂😂👇👇
CB2FB5E0-C7E6-48DC-8792-5A807FAC760D.png
 
Back
Top Bottom