Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Nikujibu nm we huoni wazungu wakicheza ngoma na hapo sijaona slum bado lakini watu wa kibera wamekasirika kuskia kibera pia ni national park
Kwn mwenzio nimesema hzo ni slum...wacha hzo bana..hzo ni middle class houses in dar..mbna wazishusha hadhi hzo nyumba wewe
 
Mombasa City Street views
mom1.jpg
mom2.jpg
mom3.jpg
mom4.jpg
mom4.jpg
mom5.jpg
mom6.jpg
mom7.jpg
 
Afrika kusini kuna slums pia. Mpo mbele yao
yaani nyie akili zenu sijui zipoje..
unahalalisha slum dwellings eti kwa sababu nchi zilizoendelea zinazo..kwa hiyo marekani wamehalalisha ushoga kwa kuwa wao wameendelea basi na nyie kwenu ni halali..!!..that's the sign of failed states!
 
Kwanini wasiuze KPA na bank of kenya😂😂😂😂😂😂👏👏👏👏👏👇👇👇👇

 
Back
Top Bottom