Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mwanzo uko hapa kujisifia ujinga..dar kuna watu wengi sana hawana ardhi wala nyumba..miaka yote wanapanga..hvo ndo kunaendaga
Acha kupindisha mada, ardhi ndio rasilimali mama ya nchi yoyote ile duniani, ndio uti wa mgongo wa maendeleo ya nchi, ndio urithi asilia wa nchi, lazima iwe ni Mali ya watu wote chini ya usimamizi wa serikali.
 
Screenshot_20181005-100412.jpeg
tapatalk_1536218603427.jpeg
 
Hahahaaa,km mkikuyu ampendi mjaluo na mjaluo ampendi mkikuyu nyie mungiki ndio mtawapenda Watanzania,anzeni kupendana wenyewe kwanza kwenye nchi yenu nyang'au
Lol Kenyans can have their own issues but make no mistake.They unite against external aggression......that's why Michael Josephsaid Kenyans are peculiar people
 
Huwezi kutufananisha na wakenya hata siku moja Tanzania ubabaishaji mwingi kwa mambo ya kawaida (nitayaeleza baadae)

Nadhani ungeishi Kenya ungefaham vizuri zaidi..unadhani kenya walificha ficha mambo yao kwa wananchi? Waliwaficha bei halisi za ndege? Waliwaficha kama ni mtumba au mpya? Waliwaficha kwanini wamezipata kwa wakati? Waliwaficha kama wanadaiwa na nchi husika deni lililosababishwa kwa uzembe wa kiongozi? Waliwaficha wananchi wao kuhusu nini wamefanya ndege ikaachiwa, je walilipa faini ya fedha ambazo ni kodi zetu??

Usikubali kupelekeshwa na kuonwa kama mjinga flani hivi kwamba usipate taarifa sahihi bali ukae utulie kuona mambo mazuri tu
haha... tanzania, ujuha mwingi tu
 
Back
Top Bottom