Picha halisi: Hii ndio Mbagala

Slim5

JF-Expert Member
Jan 7, 2014
28,108
37,641
Hii ndio Mbagala
IMG-20181031-WA0002.jpg
 
Sisi tuko busy na Posta yetu. Maana kila movie tutapaonyesha, akija Kagame tutamzungusha mtaa huu na kutokea upande wa pili lazima watakubali kazi.
Aiseee kwakusema ukweli Bongo vimejaa vibanda tu mitaani.
Huku uswahilini kwetu kuko hovyo lakini eti ndo jijini hapa.
 
Sisi tuko busy na Posta yetu. Maana kila movie tutapaonyesha, akija Kagame tutamzungusha mtaa huu na kutokea upande wa pili lazima watakubali kazi.
Aiseee kwakusema ukweli Bongo vimejaa vibanda tu mitaani.
Huku uswahilini kwetu kuko hovyo lakini eti ndo jijini hapa.
Majiji ya wenzetu uswazi unakutafuta wakati huku kwetu 70% ni uswazi ushuwani unapatafuta
 
Back
Top Bottom