Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

miaka hii miwili mumekula kipigo cha mbwa koko😂😂😂😂👏👏👏👇
Ichoboy hii thread yako nitaambia admin aifunge utoke huku angalau ujionee dunia inavyoendelea. Duh! Umekuwa kama kupe kwenye ngozi ya ng'ombe hubanduki wala hupapatiki?
 
Anacheza ndombolo ya solo
Duh!!!munaukataa umaskini jamani..watanzania wengi hawanauwezo wa kununua magari...

Kenya watu wanayanunua kila kuchao..middle income kibao...mbna kusiwe na jam na highways zipo kibao
 
Duh!!!munaukataa umaskini jamani..watanzania wengi hawanauwezo wa kununua magari...

Kenya watu wanayanunua kila kuchao..middle income kibao...mbna kusiwe na jam na highways zipo kibao
Public transport yenu ni hovyo. Hivyo gari kwenu ni necessary good. Decent person huwezi kwenda kazini umepanda matatu. Utatafuta usd 5000 ununue hata kavits kama "njugush"
 
Buda tumia tu Kiswahili...BRITAM,UAP,KCB,PRISM,Mihrab etc are fully kenyan owned ...most of your main towers are government owned..outside the CBD its just slums in Dar...90% of important towers in TZ ARE OWNED BY NHC
Dont be ignorant. Government ownership means peoples ownership. This benefits all. Hata China kampuni kubwa nyingi ni za serikali na zinanunua hadi hizo private companies za ulaya.
 
Duh!!!munaukataa umaskini jamani..watanzania wengi hawanauwezo wa kununua magari...

Kenya watu wanayanunua kila kuchao..middle income kibao...mbna kusiwe na jam na highways zipo kibao

Hata takwimu za umiliki wa simu kenya inaongoza EA,lakini tuliitisha sensa ya simu humu kwa wadau wenzako kutoka kenya ilikuwa ni vituko vitupu.

Elimu mnaongoza EA tukaitisha mitihani,tukajionea vioja.

unfortun.umekuja unaringa kwamba foreni ni ishara ya utajiri wa wakenya,hatupendi kuwaaibisha kila mara kwanini mnatulazimisha????embu acha tuendelee hujadiliana hapa sipendi nikifukuze bila kupenda.
 
Dont be ignorant. Government ownership means peoples ownership. This benefits all. Hata China kampuni kubwa nyingi ni za serikali na zinanunua hadi hizo private companies za ulaya.

Atajulia wapi huyu kajazwa ujinga na upepari coppy.
 
Back
Top Bottom