komora096
JF-Expert Member
- Sep 26, 2018
- 20,548
- 5,647
Hii picha huaga unatuma tangu 2017
Hii picha huaga unatuma tangu 2017






Kweli tumewashika pabaya, tuanze na sisi kuleta Kakakuona, Mchikichini na Kawe City???
Avic 47,35,33,31,31,30
Prisim 34flrs
Uap 33flrs
Britam 31flrs
Times towers 33
Teleposta 30*2
U/c site preparation
Akili tower 30flrs
Cbk pension 30flrs
Enderman ngara 34*8(yaani hii crane ya Kwanza ikienda juu mtahama jamii forum)
88 Nairobi towers 44flrs....
Duh!!yani dar haina hadhi ya kuitwa city...km nje ya cbd ni uchafu km huu karibia 3/4hii kali...kujeni mutume kiberaAlafu huku ni wapi IchoboyView attachment 901786
Sheria yenu ya ardhi hauijui!? Watakao nunua ni hao hao wachina. Ngoja uoneKwani wachina ndio watanunua hio mijengo?No wakenya kwaivo wakenya ndio wamiliki .....
Lazima hyo...watu wana nunua magari kila kuchao...ndio ujue kenya si km bongo..tz maskini ndio wamejaa tuHatuna foleni sana. dada.. Foleni za nairobi pamoja na ma highway yote ni mbaya sana sijapata kuona
huko Kenya ni matajiri tu ndo hununua magari??Lazima hyo...watu wana nunua magari kila kuchao...ndio ujue kenya si km bongo..tz maskini ndio wamejaa tu
Heheeee!!mwalimu wa kiswahili wako n nani...hv watu kwako ni matajiri...heheeeeehuko Kenya ni matajiri tu ndo hununua magari??
Hta wewe pia ukitaka kuja ununue..km una pumzi lknSheria yenu ya ardhi hauijui!? Watakao nunua ni hao hao wachina. Ngoja uone
Leta..Nigga what???Kweli tumewashika pabaya, tuanze na sisi kuleta Kakakuona, Mchikichini na Kawe City???
hujielewi weweHeheeee!!mwalimu wa kiswahili wako n nani...hv watu kwako ni matajiri...heheeeee
Oooo!!kujielewa nikuamini watu inamaanisha matajirihujielewi wewe
Hivi unajua hako ka section ni posta pekee?
anaweweseka tu,kila kitu anapost.Lazima hyo...watu wana nunua magari kila kuchao...ndio ujue kenya si km bongo..tz maskini ndio wamejaa tu
Wacha porojo hesabu idi apartment najua mko kwenye denial lakini mtakubali tu...zoom alafu uhesabuDaaah wakenya ni wazuri sana kwenye kupika data, ona sasa official website ina above 30 mbili tu wao wanakuja na tano
Kawe city is dead,your NHC is bankrupt ...ivi seven eleven updates ziko wapi ilikwama 2016 ikiwa na 6flrs ime resume?Nigga what???Kweli tumewashika pabaya, tuanze na sisi kuleta Kakakuona, Mchikichini na Kawe City???



Boom ya dar imeisha na ppf hakuna jengo lingine mtajenga above 30flr for the next 30yrs....Mimi nimepost project ambazo ziko kwa site preparation sio kama iyo kakuona ya ccm yenye hitawai jengwa...Hajui ata project ilichange jina to GTC....wako kwa denial ila watakubali tu Nairobi ya 2018 sio Ile ya 2010Unaleta kitu ya kitambo alafu unasema ni official. Sahii kwanza project ni GTC, tuletee updated news shienzi
Ni ugonjwa ya uzalendo inamsumbua akiliHajui ata project ilichange jina to GTC....wako kwa denial ila watakubali tu Nairobi ya 2018 sio Ile ya 2010View attachment 902141



Yani Nairobi kila mwezi high-rised buildings zinaanzishwa na 80% ni over 30floors then they want to competeKawe city is dead,your NHC is bankrupt ...ivi seven eleven updates ziko wapi ilikwama 2016 ikiwa na 6flrs ime resume?Boom ya dar imeisha na ppf hakuna jengo lingine mtajenga above 30flr for the next 30yrs....Mimi nimepost project ambazo ziko kwa site preparation sio kama iyo kakuona ya ccm yenye hitawai jengwa...



