Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Toka jana nimekuuliza kwenu huko ni matajiri wakikuyu pekee ndio wanamiliki magari,hukushtuka ulivyo zuzu umekuja tena na sera yako hii leo.

Wewe una gari???
Heheee!!hv mombasa na kisumu pia ni ya wakikuyu...heheeee!!!..
 
Hizo bra bra hazina naface hapa. Kwani nani hajaishi Nairobi? Unadhani sisi hatuijui Nairobi?
Nimekwambia acha bra bra. Kama hujui kitu kaa kimya sisi tukuletee. Usijifanye mjuaji wakati hujui. Nimekwambi wewe leta references za Nairobi. Wewe unakuja na maneno ya siasa.
Je?
1. Nairobi kuna BRT?
2. Nairobi kuna Island?
3. Nairobi Kuna uwanja mkubwa wa Taifa?
4. Nairobi kuna fish market?
5. Nairobi kuna daraja kama la Nyerere?
6. Nairobi kuna beaches?
7. Vipi kuhusu hotel za Nairobi na za Dar?

Wewe unakuja na bra bra hapa. Tatizo huna exposure. Umetokea porini na kwenda Nairobi. Sasa umerudi dar na huja wahi hata kutembea zaidi ya kwenda kazini na kurudi nyumbani kwako.
😂😂😂😂😂bra bra aache. Atavaa nini basi? 😂😂😂😂😂bla bla
 
hayawi hayawi😂😂😂👏👏👏👇👇
85593CAA-349D-483D-846E-A96DBB397A65.jpeg
12D05561-2EDD-4A58-BFD0-09F446C86EA4.jpeg
 
Cheap people Kama wewe hamuwezi kula pweza ,kuleni sukuma wiki Kwa kwenda mbele mkiimba mido inkamu Kama kawaida yenu
Disgusting!!!!!!Despite you eating all these filthy sea animals your country leads in having the highest number of children with malnutrition. Where are those people who were bragging here? That they are scientists? Did they not learn about nutrition?
 
mbona kama harufu ya ukoloni imerudi kwa wenzetu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji116][emoji116][emoji116]

hii ni ni next level...mda si mrefu wachina wata claim eneo lote la state house ya kenya ni lao. [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Back
Top Bottom