Janerose mzalendo
JF-Expert Member
- Oct 4, 2018
- 3,881
- 2,813
Ni wa kutoka nchi gani huyu?
Naijo...Ni wa kutoka nchi gani huyu?
umeenda mbali... hapa hapa Kenya, Watanzania wamejazana kila miji na wamefulia mbaya sana.Watanzania wengi sana wapo pale South Africa wamechoka na wanamaisha magumu balaa tena afadhali hata hao wanigeria wanakuja wakiwa na taaluma zao kama huyo uliyesema ni software developer, Wabongo wengi wengi waliopo SouthAfrica wamechoka na hawana taaluma yeyote vipi Serikali ya SouthAfrica nayo ipige ban visa on arrival kwa wabongo?
Suluhu sio kupiga marufuku Visa on arrival hapana suluhu ni kuweka mfumo imara wa kiulinzi utakaodeal na nyendo za wageni wasioeleweka na wasio na msaada.
umeenda mbali... hapa hapa Kenya, Watanzania wamejazana kila miji na wamefulia mbaya sana.
kama Tanzania ni nchi ya 'maziwa na asali' kwa nini mbona kuhangaika kwote huku kwenda kukera nchi za watu???
Phase 2 ikiendelea biashara pia inaendelea.miaka hii miwili mumekula kipigo cha mbwa koko![]()
hahah mbona kule nipo sana bro 😀😀😀😀😀Ichoboy hii thread yako nitaambia admin aifunge utoke huku angalau ujionee dunia inavyoendelea. Duh! Umekuwa kama kupe kwenye ngozi ya ng'ombe hubanduki wala hupapatiki?
Mbona unaguarantee vitu ambavyo haviko ndani ya uwezo wako?Kawe city is dead,your NHC is bankrupt ...ivi seven eleven updates ziko wapi ilikwama 2016 ikiwa na 6flrs ime resume?Boom ya dar imeisha na ppf hakuna jengo lingine mtajenga above 30flr for the next 30yrs....Mimi nimepost project ambazo ziko kwa site preparation sio kama iyo kakuona ya ccm yenye hitawai jengwa...
Tanzania inejenga modern electric train in africa phase mbili kwa pamoja ambzao ni 722km total by 2019 phase one itakua imekamilika na 2020 phase itakua imekamilika sijui sura zenu mutazieka wapi beo😀😀😀😀😀😀Kenya tuko rada. Business as usual.Phase 2 ikiendelea biashara pia inaendelea.View attachment 903023View attachment 903024View attachment 903025View attachment 903026View attachment 903027View attachment 903028View attachment 903029
Congo ndio ilifaa muwaringie na izo miundombinu sio sisi!!Kenya tuko rada. Business as usual.Phase 2 ikiendelea biashara pia inaendelea.View attachment 903023View attachment 903024View attachment 903025View attachment 903026View attachment 903027View attachment 903028View attachment 903029

You still dodn't have anything.Congo ndio ilifaa muwaringie na izo miundombinu sio sisi!!![]()
![]()
Life is too difficult for the blind like youYou still didn't have anything.
Everybody ako na priorities zake. Kenyans prioritize roads and that's why road connection in Kenya is ahead of any neighbouring country.wapi likoni inapumulia mipira ya mkojo asante mseven kwa kufata nyendo za nyerere bridgewengine waliahidiwa likoni bridge miaka 30 iliopita
Let me tell you one thing, you are being cheated by your leaders. Do you think mkidevelop Kenya inatawangoja? That's why every statistics favours Kenya over Tz.Life is too difficult for the blind like you
Hatudevelop kuwapita ke tunadevelop kutoka kwenye umasikin na kuboresha maisha yetu ,it's okey ku bragg na vitu vidogo kwasababu tulikua matopeni kwa kipindi kirefu ...Let me tell you one thing, you are being cheated by your leaders. Do you think mkidevelop Kenya inatawangoja? That's why every statistics favours Kenya over Tz.
hehhe leo mko na priorities ila kujenga likoni bridge mlioahidi miaka 30 iliopita haina maana 😂😂😂😂😂😂 ahead of slums and unemplyment rate plus poverty😂😂😂😂👏👏👏👏👏👏Everybody ako na priorities zake. Kenyans prioritize roads and that's why road connection in Kenya is ahead of any neighbouring country.
na still tuna just 10 yrs of developments lakini ona wanavohangaika usiku na mchana😂😂😂😂😂😂😂😂Hatudevelop kuwapita ke tunadevelop kutoka kwenye umasikin na kuboresha maisha yetu ,it's okey ku bragg na vitu vidogo kwasababu tulikua matopeni kwa kipindi kirefu ...