Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

unanidanganya mm au unajidanganya wewe mwenyewe kuna gorofa gani lenye 30 hapo
Zoom alafu uhesabu alafu we ndio utaamua hio no picha Mzee ya july
tapatalk_1539856591786.jpeg
 
hii golden tower ilianza ujenzi more than 28 floors twin towers ushaona tumeweka humu
Ulikua umesema akili towers ni renders nikakuonyesha site excavation inaendelea sasa umeanza kuhamisha magoli....
 
So the Government building towers is a bad thing? How?

How many towers belong to NHC in Dar Es Salaam at the Moment? FYI none.

You don’t know anything. NHC hawana Tower ya maana town Kwa sasa.
Wasikuchoshe.. huu mfumo wetu ndiyo best, majengo ya maana town yanamilikiwa na wananchi (mifuko). Kama wao wana akili wawaambie hao investors kama avic wakalime ili wamalize njaa.
 
Ulikua umesema akili towers ni renders nikakuonyesha site excavation inaendelea sasa umeanza kuhamisha magoli....
ndio nakuonesha mfano uelewe akili tower go on showing renders za akili towerπŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘πŸ‘
 
Wasikuchoshe.. huu mfumo wetu ndiyo best, majengo ya maana town yanamilikiwa na wananchi (mifuko). Kama wao wana akili wawaambie hao investors kama avic wakalime ili wamalize njaa.
Kwani wachina ndio watanunua hio mijengo?No wakenya kwaivo wakenya ndio wamiliki .....
 
Hatuna foleni sana. dada.. Foleni za nairobi pamoja na ma highway yote ni mbaya sana sijapata kuona
Solution ya traffic jam ni mass transport na ringroads. Nai hamna hivyo vitu. Halafu Dar imegawanyika sana, ki ofisi, masoko mpaka makazi. Mfano kuna watu wana kaa Bunju, Kibaha wengine Gomz, kuna watu wanapiga mzigo Kko, Posta, Knyama, Ubungo, Mwenge au Tegeta. Hii imesaidia sana, pia serikali kuhamia Dom, flyovers kujengwa na ma BRT, fast train ambayo itafanya mtu afike Mwanza ndani ya Masaa chini ya 10, Moro chini ya masaa mawili kutazidi kuifanya Dar kuwa jiji ambalo ni traffic free zaidi E.A kama siyo Africa. Mfano kama mlandizi to Posta inaeza ikawa chini ya dka 20 wachache sana watakubali kujiminya Mwananyamala.
 
avic 42, 35, 29, 23, 25 28
ehehehehehh
prism 32fl na ukitaka evidence sema
leo times imekua 33 and not 38
wapi telepost * 2 teleposta is 27
wapi akili tower nioneshe render plz
wapi ngara renders
wapi CBK pesnsion 27 fl renders plz

leo umepokea kipigo kitakatifu
CBK iko hapa
tapatalk_1539812443881.jpeg
tapatalk_1539812436411.jpeg
 
Back
Top Bottom