Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Hivi kwanini Serikali ya Kenya
isiongeze Kibera kwenya vivutio vya utalii nchini kenya!!

Maana watu wanaenda kutembelea kule
kuona jinsi Makazi ya Mbwa kuishi binadamu!!
0574b5c26046228650168999edd4dbdc.jpg
fb8a87f7596d0a455a3e0783d98dabb9.jpg
Aibu itakua sasa kwa nairobi wao wanakwambia class city alaf iwe na slums ambazo hakuna duniani hahhahahahhaa itakua bonge la soo na noma kilo 10 hahhahahaha wazee wa sifa hao wazee wakuhamisha visivohamishika hahaahhahaha
 
Kuna jengo linajengwa njia ya kupitia Old Bagamoyo road (Mwaikibaki road), karibu na eneo la Warioba. Nitapiga picha na nilete hapa.
 
Aibu itakua sasa kwa nairobi wao wanakwambia class city alaf iwe na slums ambazo hakuna duniani hahhahahahhaa itakua bonge la soo na noma kilo 10 hahhahahaha wazee wa sifa hao wazee wakuhamisha visivohamishika hahaahhahaha

halafu bora hizo slums zingekuwa mbali na mji.karibia zote zipo jirani katikati ya jiji.

mfano ni kibera.yenyewe ipo kiliomita 5 tu kutoka city center ya nairobi.big shame.

ushahidi huu hapa
66df4149be90ad5f459d5749a085b763.jpg


kwa wale wanaofahamu vizuri jiografia ya jiji la dar,hiyo kilomita 5 ni distance ya kutoka kituo cha bus posta town hadi kinondoni morroco.

vuta picha kinondoni morroco ndio ingekuwa slum.wakenya wangetucheka sana.tungetafuta pa kujificha wallah.

ushahidi juu cha distance ya kinondoni morroco to posta huu hapa.

645714f6369255e085960677bd7d4fa6.jpg
 
halafu bora hizo slums zingekuwa mbali na mji.karibia zote zipo jirani katikati ya jiji.

mfano ni kibera.yenyewe ipo kiliomita 5 tu kutoka city center ya nairobi.big shame.

ushahidi huu hapa
66df4149be90ad5f459d5749a085b763.jpg


kwa wale wanaofahamu vizuri jiografia ya jiji la dar,hiyo kilomita 5 ni distance ya kutoka kituo cha bus posta town hadi kinondoni morroco.

vuta picha kinondoni morroco ndio ingekuwa slum.wakenya wangetucheka sana.tungetafuta pa kujificha wallah.

ushahidi juu cha distance ya kinondoni morroco to posta huu hapa.

645714f6369255e085960677bd7d4fa6.jpg
Halafu wenzetu hawa wanajishaua kweli.
 
umbali toka slum ya mathare kwenda ktk mtaa maarufu katikati ya jiji la nairobi unaofahamika kama kenyatta avenue,ni kilomita 5.4.
kwa gari ni mwendo wa dakika 12 tu.
ushahidi huu hapa.
1cc2fb72a3b949219727048f8a938280.jpg

aibu jamanii...yaani wakenya licha ya ujuaji wenu wote wa kuzungumza kingereza kumbe mji wenu upo umbali mdogo na maeneo ya slums?!!.pathetic.
 
ni machos tu!
Duh Nairobi iko mbalii sana sio ya kufananisha na Dar... kwa kuanzia tu hio airstrip ya JKN huwezi linganisha kabisa na Jomo Kenyatta International Airport.. ukija kwenye road map.. ooh my god wenzetu wako mbali mno mazee!
 
nikuhakikishie kitu kimoja mdau,
hiyo thread haitofika mbali,lazima itakwama.labda watz tutie miguu na kuanza kuichangamsha.

ili mkenya aanzishe thread inatakayo trend kwa kasi na ipate comments nyingi,lazima ushiriki wa watz uhusike.vinginevyo thread zao zinakwamba kwa kukosa wachangiaji wengi.

nimeona hivi karibuni wanajaribu kufanya diversion kwa kuanzisha thread zingine kwa maudhui ya kutaka kuzishindanisha na thread hii ambayo tunawaburuza,mwisho wa siku thread zao zikikwama,wanarudi tena kuendelea na mnakasha huu.
watazima aisee mpaka huruma
 
Back
Top Bottom