Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Battle: Dar es Salaam vs Nairobi

Mkuu huo ndiyo ukweli Dar bado sana kwa Nairobi na wewe kama umewahi kuwa Nairobi unajua sema hapa mnafurahishana tu. Endeleeni lakini kuburudisha jamvi. Mi nasema kwa uzoefu wangu mkubwa wa miji hii miwili

Dar bado changa sana kwa Nairobi. Changa tu sana.
 
The day Dar will have more multi-nationals companies and organizations than Nairobi then I will accept Dar is greater and mightier than Nairobi. For now this thread is useless like the "EA" IN "TEA".
krkrkrkrkrkr
 
hio fikra yake aendelee kufkiri lakini mm nawaambia nairobi kusanya mombsaa kusanya kisumu hamutoboi kwa dar
 
1590 km sq changa kwa 696 km sq hahahahhahahhahah kweli jamaa mtambo sio bure😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
 
punguzeni hio kitu kwanza😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀 inawaua wakenya wengi hahahhahahahaha

1200px-nairobi_slums_area-svg-png.494352
 
aahahahahahahahaha
Naona umeshikwa Na temporal insanity. Enda kameze sawa alafu ulale ndo urudi...
Hakuna lolote Dar inashinda Nairobi...uko compare on a point to point basis...
Dar ilishindwa kitambo Sana, ndio maama ili kufuta machozi ya aibu mnatafuta vigezo vya kiajabuajabu ili angalau mpungize uchungu ... Eti mmeshinda kwa daraja refu, boats, beach, island, ..hahaha Aki nyinyi watu mlizaliwa wapi jameni
 
aahahahahahahahaha
wewe umebaki pekeako na humu hutoki heheheheh mulijua ni ile dar 90s enhhhhh hii 2017 baba na pabo tunaendelea kujenga nchi miaka 10 tumejenga nchi munatoa mapovu ingekua 20 mungesemaje 😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
tumewakamata pabaya sana hahahahaahahhahahah mwenzako amesema muna mega city 10 nitajieni 2 tu ctaki zote 10😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀😀
sifa ndio zinaowafanya munakua maskini sana munakalia kuiba picha za nchi za watu munaleta hapa hahahahhahahahahahahahhahahahah hii ndio bongo 2017
 
Back
Top Bottom