COLLOH-MZII RELOADED
JF-Expert Member
- Apr 6, 2017
- 7,544
- 3,131
Tao ka eldoret na Nakuru inachapa arusha na unataka linganisha arusha na kisumu...hauna aibu bratheUjaribu kuandika kwa kijifikirisha Kidogo!!
Tanzania ndio inamiji mingi kuliko Kenya!!
Tanzania bara ina zaidi ya mikoa 22 na makao makuu yamikoa hiyo ni miji
Tuna kuruhusu
nenda kaanzishe Arusha Vs Kisumu
kisha Uone mziki wake